Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
we tulia mpenzi mtazamajikujua nn tena
we tulia mpenzi mtazamajikujua nn tena
hivi n mm tu ndio nalindwa au na boss wakoNamimi nisijue labda .. .
Si tunacheza tu jamaniunacheza na lee 🙂
Nzuri tu mtoto mzuriwazima Aisha za kwako
nimekumiss, mambo niajeNambie
Nimecheka sanaNzuri tu mtoto mzuri
hawa watu sio wastaarabu kabisa sijui kwa nn watu wa bara la Asia wapo hivyo1/China
![]()
Hawa macho madogo wapo takribani Bilioni moja, Milioni mia tatu themanini na nane na laki mbili[1,388,200,000)
Wanasifika kwa uchapakazi na kuzalisha bidhaa feki.ndio Taifa linalotishia uchumi Wa Marekani kutokana na ukuaji wake
Wamepunguza kasi ya kuzaliana hivyo sio ajabu wakipitwa na Wahindi
Mwisho
.........
Asante Bitoz ubarikiweKuna gap kubwa kati yao
Usishangae
.......
mbona kama mchezo wa kweli huo!Si tunacheza tu jamani
Seansa huhesabu idadi ya watu waliopo nchi husika nafikiri hao inategemea km walikuwepo huko kwao wakati wa sensaUtu tumjamaa achana kabisaa ...wengii balaa
Vipi kwenye hiyo number wale wa kariakoo na kurasini wamo au ??
Binamu jaman hivi ww sio mwanamuziki kweliSijambo auntie, pole kwa kuchelewa kujibu. Adolph Mbinga , bwana mzuzu yeye alikuwa akipiga gitaa la solo, upigaji wa solo unakuwa ni pale mpigaji anapiga mtindo mmoja tu bila kubadili au kuingiza mipingo mingine.
Miraj Shakashia, utampenda akiwa na kina Banza pale Afirca Stars na kisha TOT, huyu alipiga 'rizimu' rhythm , msikilize pale Banza anaimba 'kula mbakizie baba"
Wametisha hawa... Kwanzia uchafu mpaka kuzaliana2/IndiaWahindi wanapenda ngono balaa, pia wanasifika kwa uchafu usishangae kuwakuta bararani huko Mumbai wakishusha tu kojo kwa raha zao![]()
Kasi yao ya kuzaliana ni kama panya
Wapo Bilioni moja, milioni mia tatu arobaini na mbili na laki tano(1,342,500,000)
Wazee wa bajaji
.....
hahahha huna tofaut na mondray au shedede ndio mana queen khan kakukimbiaIsha
We hauna madharaNamimi nisijue labda .. .
Nimerudi mkuuUmepotea sana mkuu
unaongea na nani??hahahha huna tofaut na mondray au shedede ndio mana queen khan kakukimbia