shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mimi nilijua wewe ndiyo mtumiaji wa kwanza kwa makapukuDah mkuu ubavu huo ninao basi hahahahhaa
Mimi nilijua wewe ndiyo mtumiaji wa kwanza kwa makapukuDah mkuu ubavu huo ninao basi hahahahhaa
Niambie Bablai, ulikuwa Afghanistan nini???Mukongo![]()
![]()
![]()
![]()

Nipo fundiMpale wa Congo upo
Apo tunasemanga "mololo"Muke iko byee namupendaaa tuuu
Nilikuwa North KoreaNiambie Bablai, ulikuwa Afghanistan nini???![]()
ntakuchapa wewe!Shunie asijue lakini
sawa mkuluTOP TEN
Leo tuangalie nchi zenye watu wengi zaidi duniani kwa takwimu za mwaka 2017
Sitaweka takwimu km zilivyo maana tarakimu ni kubwa mfano wakiwa 1,000. 357, 780 nitasema takribani watu bilioni moja na laki nne elfu au nitaandika 1 000,400,000
karibuni
.........
........
Kwani kuna tatizo??Shunie asijue lakini
Twende kaziTOP TEN
Leo tuangalie nchi zenye watu wengi zaidi duniani kwa takwimu za mwaka 2017
Sitaweka takwimu km zilivyo maana tarakimu ni kubwa mfano wakiwa 1,000. 357, 780 nitasema takribani watu bilioni moja na laki nne elfu au nitaandika 1 000,400,000
karibuni
.........
........
Hivi shemela wangu yupoKwani kuna tatizo??
mkuu ni milioni mia na thelathini elfu au milioni mia na thelathini10/Mexico![]()
Hii nchi ipo huko Amerika ya Kaskazini ni maarufu kwa biashara ya dawa za kule vya, imepakana na Marekani ndio iliyomtisha Trump hadi kutoka kujenga ukuta
Ina idadi ya watu Milioni mia moja thelathini elfu (130,000,000
Mji mkuu ni Mexico City ndo chimbuko la maDon
......
Angalia nilivyoandika kwa maneno na tarakimu makusudi tusianzishe ubishi wa kuitamka 11, 000 na 10,001mkuu ni milioni mia na thelathini elfu au milioni mia na thelathini
100,030,000 au 130,000,000
Kakumis kinomaaHivi shemela wangu yupo
Kwa Dogo Kiduku!!!Nilikuwa North Korea

sawaAngalia nilivyoandika kwa maneno na tarakimu makusudi tusianzishe ubishi wa kuitamka 11, 000 na 10,001
Fuatisha tarakimu na sio maneno yangu kuepuka kuchanganyana
Nimeeleweka
..........
9/Urusi
![]()
Ni taifa lenye nguvu barani Ulaya linaongozwa na Vladimir Putin, ndo Taifa la Ulaya ambalo linamnyima usingizi Mmarekani kutokana na kugombea maslahi mfano huko Syria
Lina watu takribani Milioni mia moja na arobaini na tatu (143,000,000)
Zamani ilijulikana kama Soviet kabla ya kila mtu kubeba chake
......
mkuu hebu nipe info kidogo nataka kwenda huko nishakata tiketi tayari!Nilikuwa North Korea