Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Nimesoma vitabu vya huyu jamaa ! Cha kwanza hadi cha saba![]()
Wale wa Harry Porter
....
Nimesoma vitabu vya huyu jamaa ! Cha kwanza hadi cha saba![]()
Wale wa Harry Porter
....
Mi moviesNimesoma vitabu vya huyu jamaa ! Cha kwanza hadi cha saba
He hee zakoMama paroko
Kaka wao ...uko poaa??Mie mzima sana but wanitenga sana
Kwemaakwema hapa??
InspectorMakapuku habar za mchana
Lunch-time hii tukaribishane
Unataka unyee chai?Nimepamisi sana humu hebu nikaribisheninkwa Likes Mia mBili nina kazi nazo mazeeiiyaaa

Mama mchungajiUbarikiwe
ShemejiPoa
Shkamo kaka
Kagame
MamboKiruuu una kazi nazo
Diamond & rayvanyTulale wote salamaaa
Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.
Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.
Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté
Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'
Hey how are uHomegirl punguza jazba..hutaniwi na wewe chalii ake
Simba wa poliniNa wewe pia...Tuamshwe salama...
Hey mamboMungu akulinde usiku mwema mkuu
Charlie mambo vpHongera