Makapuku Forum

Makapuku Forum

297e334a96251a369225757d2a17112d.jpg

Wale wa Harry Porter
....
Nimesoma vitabu vya huyu jamaa ! Cha kwanza hadi cha saba
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wadau, tunaendelea tena na kipengele cha muziki hususani upande wa nyuzi aka gitaa. Na bado tuko Magharibi mwa Afrika.

Tunamwangalia nguli wa gitaa na muziki aliyejulikana sehemu nyingi ulimwenguni, huyu ni Ali Farka Toure, mshindi wa tuzo ya Grammy, ndiyo Grammy mwaka 1994 akishirikiana na Ry Cooder. Na sio Grammy moja tu, alishinda tuzo hizi mara mbili.
Ali Ibrahim Farka alijulikana kama 'godfather of the desert blues", kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la Wednesday 8 March 2006 10.40 EST.
Ali Farka alifariki mwaka 2006. na kwa kuheshimu mchango wake, radio za serikali zilisitisha matangazo mengine na kucheza nyimbo zake siku nzima.


Hii hapa ni clip toka YouTube hapa akitumbuiza na gwiji la kora Toumani Diabaté



Hadi wakati mwingine tena, kwa wale wapenzi wa sauti za 'magitaa'

Mchalaza gitaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom