Makapuku Forum

Nimeseme kwa sasa hvi mtani unavyomwelezea ni tofauti na alivyo sasa hivi
Kwasasa anaabudiwa kama mungu, radio yake wanamwabudu hadi kichefu chefu.
Kumshika mkono ni pesa, sijui kuina mkono wa nabii pesa sijui patna pesa cjui nnninini......ni hatari wa wajinga wakulwe, wakulwe, wakulwe
 
Umenena vyema ...inshort kazi na sara
 
Aminaaaa
 
Umenikumbusha mbali mkuu
 
Kweli kabisaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…