Makapuku Forum

Makapuku Forum

944393e062f18689271bd3700ebe97f9.jpg
Neymar kama zombie
 
Halaf tulivyo wajinga unaambiwa njoo upande mbegu,toa mfano lak moja kuubariki unabii na utaona muujiza wa Mungu, utanunua gari mwaka huu,utajenga nyumba bla blaaa kibao na tunaamini, ila ajabu yake miaka itaenda weee hata kiwanja huna, unajiuliza hivi ni wapi Mungu alisema uombe tu bila kufanya kazi,fanya kazi muombe Mungu atabariki kazi za mikono yako na kukuzidishia
Hizo mbegu hizo wenzio ndio unawaona na makila kitu kumbe umewapa na ndege wanazo wewe hata kiatu huna...tusome sana biblia na kumuombq Roho mtakatifu atuongoze..James 5:16.. The prayer of righteous man is powerful and effective". Tunapaswa kuomba tunaweza na kufanya kazi kwa bidii hakika tutashinda
 
Inatokea mara chache sana katika soka yaani Dakika 180 ( Home and Away ) Barca hawajapata hata goli moja, mwisho umekaribia.
Only 3 teams have stopped Barcelona scoring in both legs of a Champions League KO tie in 21st century

Man Utd (2007/08)
Bayern (2012/13)
Juventus (2016/17)
 
Hizo mbegu hizo wenzio ndio unawaona na makila kitu kumbe umewapa na ndege wanazo wewe hata kiatu huna...tusome sana biblia na kumuombq Roho mtakatifu atuongoze..James 5:16.. The prayer of righteous man is powerful and effective". Tunapaswa kuomba tunaweza na kufanya kazi kwa bidii hakika tutashinda
Hakika
 
Hizo mbegu hizo wenzio ndio unawaona na makila kitu kumbe umewapa na ndege wanazo wewe hata kiatu huna...tusome sana biblia na kumuombq Roho mtakatifu atuongoze..James 5:16.. The prayer of righteous man is powerful and effective". Tunapaswa kuomba tunaweza na kufanya kazi kwa bidii hakika tutashinda
Amina, be blessed dear,kiukweli yahitaji macho ya rohoni kuyajua haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom