Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Pamoja waungwana
......

Pamoja waungwana
......

Asante mkuu Musolin5 kwa historia uwe n siku njemaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Unayo email address yahoo?HBD David Filo kazi yako ni njema
Halaf tulivyo wajinga unaambiwa njoo upande mbegu,toa mfano lak moja kuubariki unabii na utaona muujiza wa Mungu, utanunua gari mwaka huu,utajenga nyumba bla blaaa kibao na tunaamini, ila ajabu yake miaka itaenda weee hata kiwanja huna, unajiuliza hivi ni wapi Mungu alisema uombe tu bila kufanya kazi,fanya kazi muombe Mungu atabariki kazi za mikono yako na kukuzidishiaWaafrika dini tumeletewa tu na meli lakini tunajifanya kumjua Mingu kuwazidi Waarabu na Wazungu
Wazungu wenyewe hawana habari na makanisa wanaona km kupoteza time tu bora kupiga kazi ila sisi haswa Walokole masaa 15 tupo church tunapiga mayowe
NB:
Sijamlenga mtu
Kila mtu na imani yake
.....
Siku za mwisho tunapaswa kuwa karibu na Mungu na sio binadamuMaajabu Duniani, Mchungaji Awashawishi waumini wake kula Nyasi ...
Ili uwe karibu na mungu yakupasa kula Majani kuthibitisha imani yako
![]()
PamojaShukrani le dictator Mussolin5
NashukuruAsante mkuu Musolin5 kwa historia uwe n siku njema
Asante my dearPole,usingizi ukikata usiku omba omba omba muda wa usiku ni mzuri sana kuomba utapata mengi sana kupitia maombi ya usiku
Meno yote hamnq mbonq wanaonekana vijana yameenda wapi?
Inatokea mara chache sana katika soka yaani Dakika 180 ( Home and Away ) Barca hawajapata hata goli moja, mwisho umekaribia.
Nimeonja utamu huo wacha kabisaumekuonja![]()
![]()
ThanksNUKUU YA LEO
In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"
Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984
Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.
Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..
Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..
Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.
Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.
Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu
Transcend.
Ninayo,zamani nilikua nayo wakahack iliniletea shida kubwa mimi,familia na marafikiUnayo email address yahoo?
Nampenda sana MessiMessi simple tu
Kweli bahati haiji mara mbili