Makapuku Forum

Makapuku Forum

6aab15d7e0adfc00f61513f183b47dd7.jpg
Rest in peace Martin Luther King Jr
 
NUKUU YA LEO

In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.

"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"


Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984

Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.

Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..

Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..

Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.

Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.

Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu

Transcend.
Asante kiongoziii
 
NUKUU YA LEO

In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.

"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"


Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984

Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.

Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..

Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..

Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.

Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.

Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu

Transcend.
c85cdb7bd5e3733b9f2bba8e7028aa12.jpg
b76f8b6af8713619969e6b60a21c3d70.jpg
227ec17233ca96cd9948cbe57b3de03a.jpg
3fed33fc8a0458dcf264c66cb5ff9f09.jpg
 
Somo la bure
Km kuna kitu chochote muhimu unakitafuta kwenye thread husika tumia tu search
aa96ccfa02d9bd7cb105c16ef8ef6afb.jpg
f6b509364955ade032e90f7b16a158fe.jpg
7669cfbbdfee51141ddddad727c17c92.jpg

Hata km umekuta post 1000 inakuletea machaguo ya post za mwisho mwisho kupostiwa kuhusu hiyo kitu mfano km ni magazeti basi itakupeleka ya leo leo....


......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom