Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Sawa apunguze tu harakaNahisi ni day hapo alisahau
Sawa apunguze tu harakaNahisi ni day hapo alisahau
Kwema tupo leo familia ina amani sanaVipi Nyagei, Kwema?
Poa mrembo Clkey, Umemuona T anavyozunguka kama panga boy?Namshukuru Allah mie pia cjambo
Rest in peace Martin Luther King Jr
Hii inatia moyo, kwenye Amani kuna salama.Kwema tupo leo familia ina amani sana
Asante MkuuWakuu tuwe na Siku njema ...
Shunie cheupe wangu nakumis mama watoto ...
Huku ni salama mkuu sio kama nchi ya SizonjeHii inatia moyo, kwenye Amani kuna salama.
Tu wazima kabisaNiko poa kiongozi wangu sijui ww na waubavuni?
Asante kiongoziiiNUKUU YA LEO
In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"
Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984
Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.
Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..
Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..
Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.
Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.
Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu
Transcend.
Asante kipenziiHabari zenyu ndugu zangu wapendwa, niwatakie siku njema yenye baraka tele
NUKUU YA LEO
In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"
Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984
Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.
Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..
Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..
Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.
Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.
Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu
Transcend.
Pamoja kiongoziAsante Mkuu
Leo Katika Historia:
1946 - League of Nations yafikia mwisho na nafasi yake kuchukuliwa na United Nations.
1961 - Bay of Pigs Invasion: Operesheni hiyo ya kumuondoa Fidel Castro na kudhaminiwa na CIA yashindwa vibaya na kufikia kikomo.