Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Sasa shida ipo wapi tufanye USA kashinda vita je unafikiri maisha ya wakorea yataboreshwa?Noo Kim mapanki simwamini japo ana mikwara ...ukorofi wa USA haupingiki na CIA inasaidia sana ...
Mmarekani mshenzi tu hataki kuona kuna Taifa linatishia ufalme wake iwe kijeshi, kiuchumi n.k
Mi nataka hata kesho kinuke tuone watakachovuna maana wamezoeana kuonea tu watu wanaopingana na misimamo yao
.....

