Makapuku Forum

Makapuku Forum

a29c1442e8fad22e3acb5add0bbfd8b8.jpg
Hii kwata ya kawaida sema watu wanaishangaa kwa sababu ya promo tu ..
 
Umeanza kuajiri walinzi sasa. Kuoa mwanamke famous napo shida tupu. Utaajiri walinzi sana lakini jamaa kula watakula tu. Mlinzi mwenyewe Shedede? Mwenyewe alikuja hapa na spidi kali akimtaka Shunie leo ndo kageuka inspector. Anyway, kuchapiwa ni siri ya ndani mkuu
Ata mchawi tunasema mpe mtoto alee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom