Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Chief uko poaa?? Mimi namshukuru sir Allah anazidi kunitetetea ...hope kwako piaNakuona ndugu yangu. Kwema lakini?
Chief uko poaa?? Mimi namshukuru sir Allah anazidi kunitetetea ...hope kwako piaNakuona ndugu yangu. Kwema lakini?
Nakupendaaaana ww ni wa kwangu mm tu![]()
Amen mkuu za uzima?ubarikiweBwana yesu asifiwe
Ila hujanipa neno post ya nyuma![]()
Mmareka+Mkorea kusini V Wakorea Kaskazini
Hata minyama kila mtu anayo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....
Niko poa kabisa. Thanks to God.Chief uko poaa?? Mimi namshukuru sir Allah anazidi kunitetetea ...hope kwako pia
Akuuuu mm sio mshirikina bali natumia miti aliyoumba Mungu..hahahhh mshirikina ww
Asante chief ....niko na bibie kipenda roho sema vijana wananitakia mabaya tuuNiko poa kabisa. Thanks to God.
Naona unalinda kilicho chako
kuachia siwezi labda yy aniachieNaona endelea kushikilia hapo wala usiachie aisee.
Nikwambie neno gani mkuu?Ila hujanipa neno post ya nyuma
Hawezi kukuacha. Mimi nawataka kila lililo jemakuachia siwezi labda yy aniachie
Safi sana Katekista, ila nasikia mvinyo unakunywa mwingi 😀😀😀Mkuu kwaresima nilitoka kidogo ila nitarudi maana vijana huwa mnaletaga vitu adimu huwa vinanifundusha utundu kidogo nikikaa na mama yenu basi raha sana
Rock of agesmm nina Yesu anaenilinda we tumia ata mlango wa tatu

nashkuru sna Mungu atusaidieHawezi kukuacha. Mimi nawataka kila lililo jema
tunawaombea na ww na madame S mfike mbali zaidi
Rock of ages![]()
Lion of Yuda![]()
Name above all names![]()

Noo Kim mapanki simwamini japo ana mikwara ...ukorofi wa USA haupingiki na CIA inasaidia sana ...Nikwambie neno gani mkuu?
Ndio maana nilipiga kimya tu
Propaganda ndo nyingi ila kiuhalisia USA ndo Taifa korofi diniani na huwa linataka kusapotiwa kila linapomchukia mtu linaleta propaganda tu
Hata leoarushe makombora yake na sio kujambajamba tu
Na km shida eti Kim ni dokteta basi waanze kwanza na utawala wa Malkia wa Uingereza
.......
Amina mkuuHawezi kukuacha. Mimi nawataka kila lililo jema
Asante sana mshikaji wangu. Naamini tutafika mbali hakikanashkuru sna Mungu atusaidietunawaombea na ww na madame S mfike mbali zaidi