Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Looooooooh nyie ndo mlikuwa mnatamani mshenga asaini talakaNampenda shunie...
Nimefuta talaka
Looooooooh nyie ndo mlikuwa mnatamani mshenga asaini talakaNampenda shunie...
Huku tumetulia tu..Mi niko poa mkuu wanasemaje hapo ulipo
Kwani humjuiiijamaan mbona haueleweki
Mkuu unagonga bia bar gani hata mimi nina kiu nataka nije hapo tuzungumze ila nitakunywa maji tuAhsante Papaa
Teh teh tehNiko Bar nimekaa peke yangu mezani wakati meza zingine zote zina mtu na demu wake. Sasa nimejidai napiga simu
"Hallo namuona mke wako yuko na mwanaume hapa bar wanakunywa pombe pamoja"
Kwa sauti kubwa kila mtu akasikia,
Mara wale wadada wote wamekimbia tumebaki tunangaliana wanaume wenyewe
siwezi kaa mwenyewe mimi. Kama baridi wacha litutandike wooote shwaiiin
HAPA ROHO MBAYA TU!

Hahhahaha sijakuona muda sana ulifichwa na nani mkuu, shunie namuona namuona Shilawadu Shilawadu ubuyu ubuyu, sitaki kujua mliishia wapi kwenye safari ile ya kutafuta uokovu, ila sio mbaya naona yupo kwenye mikono salama ryt now
Shunie mm nakupenda...weeeeh
HahahahKama yakupandishana mapepo ??

Kamili gado, shughuli mingi mpaka JF kumekuwa mbaliupo poa lkn mushenga wangu
Kashata za karanga, unapenda zipiKashata ya karanga au ufuta
Atanifaa kwa matumizi ya kiroho huyo,humu kuna mama mchungaji wetu
Basi ni nchi ya KondooJE EAJUA?
Kuna kondoo Milioni 30 nchini New Zealand na kuna idadi ya watu Millioni 4.5 tu.
Mmhuu mm napenda hivyo hivyo..Looooooooh nyie ndo mlikuwa mnatamani mshenga asaini talaka
Nimefuta talaka
Sawa mkuu mi kwa Leo nilikuwa mji unaitwa tunduma nimerudi jionHuku tumetulia tu..
Ndio tunasubiria giza ianze tukavue
Za ufutaKashata za karanga, unapenda zipi
😡 😡 😡Shunie mm nakupenda...
Kwani ni mara ya kwanza nakuambia?
Hata Rayvany anajua..
nipo kwenye mikono salama namshkuru MunguHahhahaha sijakuona muda sana ulifichwa na nani mkuu, shunie namuona namuona Shilawadu Shilawadu ubuyu ubuyu, sitaki kujua mliishia wapi kwenye safari ile ya kutafuta uokovu, ila sio mbaya naona yupo kwenye mikono salama ryt now
my baby lee empireMpenzi wa shunie yupi