Makapuku Forum

Amina mkuu
 
Shukrani sana boss
 
Asante mkuuu
 
Nawe pia mkuu
 
Nakitafuta hiki
Hajakiandika mwenyewe. Huwa anatumia ghost writers na wengine wamemshtaki kwa kutokuwalipa; na mawazo mengi yaliyomo katika vitabu hivi mara nyingi ni common sense tu (kama ya Shigongo) na mengi hayana practicality yo yote ndiyo maana inasemekana ana madeni mengi kuliko assets + bankruptcy kibao. Wanasema hii ndo sababu kuu hataki kabisa kuonyesha makaratasi yake ya kodi ambayo anaogopa kuwa yatamuumbua kwa kuonyesha kuwa ana hela kidogo kuliko anavyotamba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…