Amina mkuuMungu Baba Mwenyezi asante sana kwa kutuamsha tukiwa salama,tunakuomba utubariki siku ya leo ikawe njema ya kukupendeza,tunawaombea wagonjwa,wafiwa,wanaouguza,wenye changamoto yoyote Baba ukawape wepesi,tunawaombea wasafiri Mungu ukawalinde vyombo vyote vya usafiri majini,nchi kavu,angani viwe salama,Bariki kazi za mikono yetu Baba ili kila mmoja apate riziki halali,tunaombea ndoa zote,uchumba na mahusiano yawe ya amani.Baba tunakushukuru kwa kuwa utafanya sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
Shukrani sana bossNUKUU YA LEO
If you love life, don't waste time for time is what life is made up of
Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.
Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.
Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.
Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.
Time is life, life is time..!
Mchana mwema wakuu.
Vick kamataWakuitwa nani?
Nakitafuta hiki
Inspiration book for wajasiriamali wakubwa na wanaonukia
Say anything hunnyI'm speechless kwakweli
Thanks swtyilove you moreee hunnie
Na itachezekaaLazima niicheze
Mbunge wa jimbo gani, naomba kumtambua kwa undani tafadhaliHuyo ni mbunge wadau
Milele aminaaUshauri ni kwamba usimuache shunie aje kanisani peke yake, msindikize kamata mkono mji wote, wanasema kuwa mapenzi yanaimarika sana pale mume na mke wanapoenda kusali pamoja kanisani....
Poa mkuuVizuri sana mkuu
Hiyo vita simooumekua mpole sana, wachungaji pia tunaruhusiwa kuoa, toa shaka nakuaanda kuwa mama mchungaji
Umo kama shahidi wa kwanza,hakuna pakukimbiliaHiyo vita simoo
Asante mkuuuNUKUU YA LEO
If you love life, don't waste time for time is what life is made up of
Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.
Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.
Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.
Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.
Time is life, life is time..!
Mchana mwema wakuu.
Nawe pia mkuuNUKUU YA LEO
If you love life, don't waste time for time is what life is made up of
Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.
Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.
Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.
Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.
Time is life, life is time..!
Mchana mwema wakuu.
Baba paroko kuwa siliasi ...Baba mwenye nyumba anakuonaaUmo kama shahidi wa kwanza,hakuna pakukimbilia
Hajakiandika mwenyewe. Huwa anatumia ghost writers na wengine wamemshtaki kwa kutokuwalipa; na mawazo mengi yaliyomo katika vitabu hivi mara nyingi ni common sense tu (kama ya Shigongo) na mengi hayana practicality yo yote ndiyo maana inasemekana ana madeni mengi kuliko assets + bankruptcy kibao. Wanasema hii ndo sababu kuu hataki kabisa kuonyesha makaratasi yake ya kodi ambayo anaogopa kuwa yatamuumbua kwa kuonyesha kuwa ana hela kidogo kuliko anavyotamba.Nakitafuta hiki
Hahhahaha ananiona nimefanya nini, halafu sikai kwa baba mwenye nyumba, mtumishi wa Mungu nipo kwenye nyumba iliyojengwa kwa sadaka, ulishamuona mzee wa upako amepangaBaba paroko kuwa siliasi ...Baba mwenye nyumba anakuonaa
Na wewe mlinzi unafanya kazi gani