Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Wakuu mmeamkeje?
Kwema mkuuWakuu mmeamkeje?
Huku kwema mkuu kimvua tu ndo kinanyeshaKwema mkuu
Ongeraa kwenu mkuu sisi hutujabatikaHuku kwema mkuu kimvua tu ndo kinanyesha
Kijana upoooo?Obe leo umekuja asubuhi..
Kazi njema jamani
Mida basi....
Unaenda wapi?Napita jamani.....
Salama Mwaghona MndaliWakuu mmeamkeje?
AmenMungu Baba Mwenyezi asante sana kwa kutuamsha tukiwa salama,tunakuomba utubariki siku ya leo ikawe njema ya kukupendeza,tunawaombea wagonjwa,wafiwa,wanaouguza,wenye changamoto yoyote Baba ukawape wepesi,tunawaombea wasafiri Mungu ukawalinde vyombo vyote vya usafiri majini,nchi kavu,angani viwe salama,Bariki kazi za mikono yetu Baba ili kila mmoja apate riziki halali,tunaombea ndoa zote,uchumba na mahusiano yawe ya amani.Baba tunakushukuru kwa kuwa utafanya sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
Hatari Mungu aingilie katiTafakari ya kirat ...
![]()
IndimkafuSalama Mwaghona Mndali
Nimeamka salama mkuu Obe asante Mungu akubarikiBlessedHope umeamka salama? Uwe na wakati mzuri leo 🙂
Safimambo vp
KaribuNapita jamani.....
Salama dear ubarikiweMmeamkaje humu ndani wana familia
Niwatakie siku njema yenye mafanikio tele
Asante mama mchungaji kwa barakaMungu Baba Mwenyezi asante sana kwa kutuamsha tukiwa salama,tunakuomba utubariki siku ya leo ikawe njema ya kukupendeza,tunawaombea wagonjwa,wafiwa,wanaouguza,wenye changamoto yoyote Baba ukawape wepesi,tunawaombea wasafiri Mungu ukawalinde vyombo vyote vya usafiri majini,nchi kavu,angani viwe salama,Bariki kazi za mikono yetu Baba ili kila mmoja apate riziki halali,tunaombea ndoa zote,uchumba na mahusiano yawe ya amani.Baba tunakushukuru kwa kuwa utafanya sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
Karibu sanaAsante mkuu Lee kwa magazeti siku njema ubarikiwe