Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
umeanza unaenda wapi sasaKwa herini
Sijazoea kuona watu wenye nyuso za mbuzi
Tutaonana Mungu akipenda
umeanza unaenda wapi sasaKwa herini
Sijazoea kuona watu wenye nyuso za mbuzi
Tutaonana Mungu akipenda
hahahhah kama kiboko
marahaba nipo mm kapukufresh, shkamooo
ivi upo?
unaanzaje kutokuwemo au umemiss kilio
nilimiss haya mambo

Kwema brooKwema mkuu
Kuhama ni singeweza maana mi nina hasira za mapema ila huwa naogopa sana kuwakwaza wadauNakutania ujue
Usije hama jukwaa bure
Kwa herini
Sijazoea kuona watu wenye nyuso za mbuzi
Tutaonana Mungu akipenda

Sio kwa ukauzu huoumeanza unaenda wapi sasa
Poa PoaKuhama ni singeweza maana mi nina hasira za mapema ila huwa naogopa sana kuwakwaza wadau
sijakuona kitambo kweli kule nnapokuonagamarahaba nipo mm kapuku
nilimiss haya mambo![]()
Nampenda mdogo wako japo ananitesaa
Pendaneni tu maana hamna namna ingineNampenda mdogo wako japo ananitesaa
Naendelea vyema sasa mama mchungajiGood morning Mkuu Nyagei za uzima,unaendeleaje ubarikiwe mkuu.
Asante mkuu

I'm speechless kwakweli
ukauzu upi una ugeni na leeSio kwa ukauzu huo
acha tu nilikua natetea ndoa niliwekwa pending kidogo tutaonanasijakuona kitambo kweli kule nnapokuonaga