BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe dearAmeen mama mchuchu ubarikiwe na ww pia
Ubarikiwe dearAmeen mama mchuchu ubarikiwe na ww pia
Haya endelea kumfia, mapenzi ni ya wawili, nisikuone home tena eti umepigwa ubaki hukohuko

Iko poa na vp sikuoni siku bi mdadanamshkuru Mungu inaenda vizuri sijui kwako
Wewe si umesema pogba wako ...baby si ulisema yameisha mpk nikawa na ww upande wa chelsea jamaan
nipo Antonio ndoa tu imenibana dada ako nipo huku kapukuIko poa na vp sikuoni siku bi mdada
Naongezaa sikukwahiyo yanakufurahisha
H.BD Afrika Bambataa1957 - Afrika Bambaataa anazaliwa.
Dj wa muziki wa Hiphop kutoka nchini Marekani.
Familia imekaa na kuamua kuwa azikiwe kule hivyo leo jioni ni mazishi yake. Kesho atakwenda Mama na Kaka kuwakilisha familia.Pole sana kiongozi mwekahazina nyagei na familia kiujumla bila kusahau kapuku msiba wako msiba wetu ...Pole sana
Wanakapuku najua sisi ni wamoja na tunaishi kwa upendo na amani mnaonaje "maneno kiukweli yanafariji " ila tungeonesha kitu cha tofauti
Mfano Mimi natamani angalau mwekahazina wetu jamvini apate ata chochote ata maji akiwa njiani ...sorry lakini ni mawazo yangu na ubaya nilipo siwezi fanya ila naweza mpa mtu maelekezo mtu akafanya nachohisi kufanya ...ila utaratibu ukiwekwa itakuwa powa
Msininukuu vibaya wapendwa ...Pole sana kishet wake mondray
wa manchester baby sio wangu ndio mana nikasema wetuWewe si umesema pogba wako ...
HBD Victoria Beckam1974 - Victoria Beckham anazaliwa.
Mwanamitindo na muimbaji wa zamani wa kundi la Spice Girls.
Maarufu kama Posh, ni mke wa mwanasoka mashuhuri wa zamani, David Beckham.
Wana watoto wanne.
Ndo sasa umisiii huo uchizii wanguserious nimekuzoea na uchizi wako wote na ukivuruge wako wotee nimekuzoea
Hi nakutafuta sana mkuuHello family
Sipajuiisasa ww n wa chato
Jitoee ufahamuhapana baby ni pogba wa manchester huyo wa pembeni ndio kante
Ubarikiwe Mussolin5 pasaka njemaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Pasaka njema.
Pole sana mkuuFamilia imekaa na kuamua kuwa azikiwe kule hivyo leo jioni ni mazishi yake. Kesho atakwenda Mama na Kaka kuwakilisha familia.
nimeumiss zaidi ya kuumiss hujui tu ww n mtu wa aina gan kwanguNdo sasa umisiii huo uchizii wangu![]()
![]()
![]()
Nimeachika in dogoz sound
Wako na naniiiwa manchester baby sio wangu ndio mana nikasema wetu
nimeuliza tu mm huwa namsikia ndio mchezaji kiboko wa chelseaJitoee ufahamu