Makapuku Forum

Makapuku Forum

Michezo...
8ff5ca13698ff114acf9c07d725d827f.jpg
f4da75b83984ad352db3215b4ef5822c.jpg
5e95adbd011af5e5bf266211f36650f4.jpg
1ab9469ac3711a159193adc20f28f71b.jpg
66a9db6c5a22cb4ab3f98e9275ccc957.jpg
1ba91a7f05be22380aa41c7ad5a19e01.jpg
ed358e43b81a0469065f98d92f6035bd.jpg
336628f73d5f0d16fb9a643b342277a1.jpg
d953c10e7739470492fd9e37e6792fa7.jpg
95524bee351627f821067802b5a73bc3.jpg
hahahhah hatutaki mazoea kabisa hii team jamaan
 
1969 - Sirhan Sirhan anatiwa hatiani kwa kumuua Robert F. Kennedy, mdogo wa Rais wa zamani wa Marekani John F. Kennedy.

Raia huyo wa Palestina anatumikia kifungo cha Maisha kwa kosa hilo.

Robert F. Kennedy aliuwawa huko Los Angeles alipokuwa katika kampeni za Urais.

Kufuatia kifo hiko, idara ya ulinzi kwa viongozi nchini Marekani( Secret Service ) ikaamua kuweka ulinzi kwa wagombea wa nafasi ya Urais kila uchaguzi mkuu unapofika.
 
Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa kutustahilisha kuiona siku ya leo tukiwa wazima na wenye nguvu,asante kwa ajili ya neema hii,tunajikabidhi mikononi mwako,mbariki kila mmoja mahali hapa sawasawa na hitaji la moyo wake,tufundishe njia zako Bwana,tuongoze katika yote tunayoenda kufanya siku ya leo yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako takatifu, katika jina kuu takatifu lipitalo majina yote jina la Yesu Kristo naomba na kushukuru Amen
Ameen mama mchuchu ubarikiwe na ww pia
 
NUKUU YA LEO

I have always fought for concrete facts, for justice

Mara zote nimekuwa nikipigania ukweli na haki
ae48aab8bd3baf516c02890ccb72ff82.jpg


Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanamapinduzi, mwanasheria na Rais wa 17 wa Jamhuri ya Cuba Bw. Fidel Alejandro Castro Ruz alizaliwa 13/08/1926 na kufariki dunia nchini Cuba 25/11/2016 akiwa na miaka 90. Na kuzikwa katika makaburi ya Santa ifigenia santiago de cuba.

Fidel atakumbukwa kwa kuwa mwanamapinduzi na muumini wa siasa za kijamaa. Fidel Castro alipigwa sana na mataifa ya kipebari ikiwemo marekani na washirika wake wa magharibi.

Fidel castro atakumbukwa kwa kuepuka majaribiao ya kumuuwa zaidi ya 600 yaliyopangwa na vyombo vya usalama vya marekani.

Leo ni tarehe ambayo ulinanza uvamizi wa Bay of pigs Invasion na ukadumu kwa siku 3. Ilikuwa vita ya kumpindua fidel castro iliyoratibiwa na CIA kipindi cha rais Dwight D. Eisenhower na kutekelezwa mwaka 1961 chini ya Rais John F. Kennedy

Marekani walitumia zaidi ya Us dollar 13.1 million kuaanda uvamizi huo ulifanyika kwa siku 3 na mwisho majeshi ya Cuba yakashinda.

Nirudi kwenye Nukuu.

Fidel castro alikuwa na msimamo, alitekeleza kile anachokiamini ni sahihi kwa watu wa Cuba . Misingi aliyoweka hai zamani ndio siri ya mafanikio ya nchi ya Cuba leo hii..

Leo Cuba wanatoa Elimu nzuri na huduma nzuri za afya zaidi ya nchi zingine za marekani ya kusini. Wana vyombo vya usalama vizuri . Hayo ndio matunda ya ukweli na haki aliyopigania Fidel Alejandro Castro Ruz.
9344407052d084758818128c0c0cfa3c.jpg

4bc4c65895674139a3adbf4175dacee0.jpg



Descanse en paz Fidel Castro
tulikumiss jamaan hawajakuteka tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom