Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sana kiongozi ...Mungu ampumzishe mahala pema
 
b02e17b3cfc60e59ebe2028217a89a65.jpg
 
Sidhani kama us atamshambulia Kim-jung

China, na south korea wanasapoti us katika propaganda na mwisho wataitishi usuluhishi..manake sidhani kama japan na china wata wawe bullet proof ya marekani..

Manake sasa vita itapiganwa korea kask. Korea kusini na china..ndizo nchi ziliozopakana na korea kask.

Ngoja tuona kama Trump atajaribu kutupa kombora hata moja..
Mmarekani mpuuzi sana, vita vyote anavyopigana anapigana nje ya ardhi yake.....so uharibifu unakuwa hau-involve raia wake na ardhi yake ila tu askari wake!!!

Dogo kiduku anavurumisha kitu mpaka us tena atomic!!!

Sidhani kama watamshambulia japo jana nimesikia tetesi kuwa Trump kasema zishambuliwe nuclear sites za N. Korea
 
Mmarekani mpuuzi sana, vita vyote anavyopigana anapigana nje ya ardhi yake.....so uharibifu unakuwa hau-involve raia wake na ardhi yake ila tu askari wake!!!

Dogo kiduku anavurumisha kitu mpaka us tena atomic!!!

Sidhani kama watamshambulia japo jana nimesikia tetesi kuwa Trump kasema zishambuliwe nuclear sites za N. Korea
a240563f93da5795b9c07b2de9ee8af8.jpg


Ndo faida ya akili mkubwa
Hata kule Iran hapagusi
Mmarekani kazoea kuvionea vinchi vidogovidogo
Sasa wamekutana na jiwe
......
 
Hana uwezo wa kupiga kutokea NK mpaka USA

Atakachofanya labda atume nyambiz zisizoonekana kwenda California ili ashambulie km alivyofanya Japan kipind kile

Mmarekani mpuuzi sana, vita vyote anavyopigana anapigana nje ya ardhi yake.....so uharibifu unakuwa hau-involve raia wake na ardhi yake ila tu askari wake!!!

Dogo kiduku anavurumisha kitu mpaka us tena atomic!!!

Sidhani kama watamshambulia japo jana nimesikia tetesi kuwa Trump kasema zishambuliwe nuclear sites za N. Korea
 
Pole sana kiongozi mwekahazina nyagei na familia kiujumla bila kusahau kapuku msiba wako msiba wetu ...Pole sana

Wanakapuku najua sisi ni wamoja na tunaishi kwa upendo na amani mnaonaje "maneno kiukweli yanafariji " ila tungeonesha kitu cha tofauti

Mfano Mimi natamani angalau mwekahazina wetu jamvini apate ata chochote ata maji akiwa njiani ...sorry lakini ni mawazo yangu na ubaya nilipo siwezi fanya ila naweza mpa mtu maelekezo mtu akafanya nachohisi kufanya ...ila utaratibu ukiwekwa itakuwa powa

Msininukuu vibaya wapendwa ...Pole sana kishet wake mondray
 
Mmarekani mpuuzi sana, vita vyote anavyopigana anapigana nje ya ardhi yake.....so uharibifu unakuwa hau-involve raia wake na ardhi yake ila tu askari wake!!!

Dogo kiduku anavurumisha kitu mpaka us tena atomic!!!

Sidhani kama watamshambulia japo jana nimesikia tetesi kuwa Trump kasema zishambuliwe nuclear sites za N. Korea
Mkorea atashambulia Us kama Us atafanya attack..lakini Us ana jeuri ya Anti-missile system.

Sijui kama AMS za Us zinaweza kudetect missiles zote za Mkorea
 
Pole sana kiongozi mwekahazina nyagei na familia kiujumla bila kusahau kapuku msiba wako msiba wetu ...Pole sana

Wanakapuku najua sisi ni wamoja na tunaishi kwa upendo na amani mnaonaje "maneno kiukweli yanafariji " ila tungeonesha kitu cha tofauti

Mfano Mimi natamani angalau mwekahazina wetu jamvini apate ata chochote ata maji akiwa njiani ...sorry lakini ni mawazo yangu na ubaya nilipo siwezi fanya ila naweza mpa mtu maelekezo mtu akafanya nachohisi kufanya ...ila utaratibu ukiwekwa itakuwa powa

Msininukuu vibaya wapendwa ...Pole sana kishet wake mondray
Mkuu wazo zuri na hii itonyesha msikamano zaidi nadhani kama makapuku tufanye utaratibu kama kuna njia ya kuwakilisha chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom