Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Alafuuu bhanaa yaliishaa jana ...mbona wachokoziiihahahhahah lee njo uone
Alafuuu bhanaa yaliishaa jana ...mbona wachokoziiihahahhahah lee njo uone
mndali kama una mda wasiliana naeSawa mkuu hapa mbeya kaniambia ni wilaya ya kyela
Asante sana mkuuLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Pasaka njema.
Hivi ni akilii zako au ??tulikumiss jamaan hawajakuteka tena
Poa mkuu asante kwa ushauri wako
Umeongea vyema mkuu
Mkuu kama kuna namna ya kufanya tujulishane ili tujue cha kufanya
Nafikiri kimeelewekaHakika mkuu,inaumiza tumuombee sana mwenzetu,na waliokaribu basi wapate hata muda washiriki.sina uhakika kama ameshaondoka Dar es salaam.wacha tusubiri tufahamu taratibu ili kwa wanaoweza wasogee kumuona.wakati michango inaendelea.
nimeona mama mchuchu aweke no yake japo tumfariji inauma sana sanaShunie mpendwa Mkuu Nyagei amepata msiba jana,dada yake amefariki tupo hapa tunajipanga.pole
Sakayo yupo...kuna kazi anafanya tuu she will be back soonWapi dadangu?
mm apa ndio shunie nimequote kuna mwenye swaliiiiiHata wewe una-quote magazeti mengi hivi!!!![]()

Yetu macho na maskio, wenye nguvu wapimane ubavuWatu hawajui kwamba silaha mkubwa ya Mmarekani kushinda ni PROPAGANDA KUPITIA CIA
Ndio kilichowamaliza Gaddafi na Saddam ambaye mwanzo aliwapiga kwenye vita ya Ghuba kwa aibu ndo wakaamua kulipa kisasi kwa kupandikiza kwanza propaganda za chuki na maasi ndani ya jeshi ht kwa Gaddafi ivoivo tu
Mmarekani kawahi kuchezea kichapo Vietnam ambao wanatumia kofia za mikeka tu
Kwa mapanki propaganda haziwezi kufanya kazi ht 3%
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Sawa tuSakayo yupo...kuna kazi anafanya tuu she will be back soon
sbbu ya mamchester si kingine kwan nimekuudhiNdo umejitoaa ufahamu ukaquote
Bwanamapanki wamuachee tuu ...watabwatabwata mdomoni ila kamwe hawezi kugusa N.KWatu hawajui kwamba silaha mkubwa ya Mmarekani kushinda ni PROPAGANDA KUPITIA CIA
Ndio kilichowamaliza Gaddafi na Saddam ambaye mwanzo aliwapiga kwenye vita ya Ghuba kwa aibu ndo wakaamua kulipa kisasi kwa kupandikiza kwanza propaganda za chuki na maasi ndani ya jeshi ht kwa Gaddafi ivoivo tu
Mmarekani kawahi kuchezea kichapo Vietnam ambao wanatumia kofia za mikeka tu
Kwa mapanki propaganda haziwezi kufanya kazi ht 3%
![]()
![]()
![]()
![]()
......
kumbe hili jina ni la mtu nakumbuka clouds walikua na hiki kipindi miaka flan1957 - Afrika Bambaataa anazaliwa.
Dj wa muziki wa Hiphop kutoka nchini Marekani.
Hope pasaka imeenda salamaNiko njema sana leee
Nzuri mkuuHabari kwa upande wako
ahhaahhah kidogo tuIla unamuoneagaaa
Yaani imenyooka, sjui kwako mkuuHope pasaka imeenda salama
japo tumfariji kwa njia hiyo maskini
Asante sanaNzuri mkuu