Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wala hakutaka talaka, alideka kidogo akitaraji umbembeleze, nawe ukajifanya mgumuuu. Mapenzi ni utoto, nikudekezana ili kumwin mwenzio lakini ukajifanya Evander na Tyson. Pole yako japo hujachelewa kwani mtalaka hatongozwi ni kubeba tu
Cc shunie
Shunie
kaka unakumbuka kazi uliyopata ya kunibembeleza ata chakula kilikua hakipiti
 
Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sana Homie ....Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema
 
6af2fe67bf49a070ee8ee4ea5518d4ae.jpg
 
Sidhani kama us atamshambulia Kim-jung

China, na south korea wanasapoti us katika propaganda na mwisho wataitishi usuluhishi..manake sidhani kama japan na china wata wawe bullet proof ya marekani..

Manake sasa vita itapiganwa korea kask. Korea kusini na china..ndizo nchi ziliozopakana na korea kask.

Ngoja tuona kama Trump atajaribu kutupa kombora hata moja..
Trump mwendawazimu AF n Mbogo Atamnyoosha tu huyo pimbi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom