Makapuku Forum

Makapuku Forum

b4ec3c2a49c493ae6e6dca3b913711b0.jpg
True
 
Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa kutustahilisha kuiona siku ya leo tukiwa wazima na wenye nguvu,asante kwa ajili ya neema hii,tunajikabidhi mikononi mwako,mbariki kila mmoja mahali hapa sawasawa na hitaji la moyo wake,tufundishe njia zako Bwana,tuongoze katika yote tunayoenda kufanya siku ya leo yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako takatifu, katika jina kuu takatifu lipitalo majina yote jina la Yesu Kristo naomba na kushukuru Amen
Amen
 
NUKUU YA LEO

I have always fought for concrete facts, for justice

Mara zote nimekuwa nikipigania ukweli na haki
ae48aab8bd3baf516c02890ccb72ff82.jpg


Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanamapinduzi, mwanasheria na Rais wa 17 wa Jamhuri ya Cuba Bw. Fidel Alejandro Castro Ruz alizaliwa 13/08/1926 na kufariki dunia nchini Cuba 25/11/2016 akiwa na miaka 90. Na kuzikwa katika makaburi ya Santa ifigenia santiago de cuba.

Fidel atakumbukwa kwa kuwa mwanamapinduzi na muumini wa siasa za kijamaa. Fidel Castro alipigwa sana na mataifa ya kipebari ikiwemo marekani na washirika wake wa magharibi.

Fidel castro atakumbukwa kwa kuepuka majaribiao ya kumuuwa zaidi ya 600 yaliyopangwa na vyombo vya usalama vya marekani.

Leo ni tarehe ambayo ulinanza uvamizi wa Bay of pigs Invasion na ukadumu kwa siku 3. Ilikuwa vita ya kumpindua fidel castro iliyoratibiwa na CIA kipindi cha rais Dwight D. Eisenhower na kutekelezwa mwaka 1961 chini ya Rais John F. Kennedy

Marekani walitumia zaidi ya Us dollar 13.1 million kuaanda uvamizi huo ulifanyika kwa siku 3 na mwisho majeshi ya Cuba yakashinda.

Nirudi kwenye Nukuu.

Fidel castro alikuwa na msimamo, alitekeleza kile anachokiamini ni sahihi kwa watu wa Cuba . Misingi aliyoweka hai zamani ndio siri ya mafanikio ya nchi ya Cuba leo hii..

Leo Cuba wanatoa Elimu nzuri na huduma nzuri za afya zaidi ya nchi zingine za marekani ya kusini. Wana vyombo vya usalama vizuri . Hayo ndio matunda ya ukweli na haki aliyopigania Fidel Alejandro Castro Ruz.
9344407052d084758818128c0c0cfa3c.jpg

4bc4c65895674139a3adbf4175dacee0.jpg



Descanse en paz Fidel Castro
f784ebed13928057795ca7e5c4e75ebd.jpg

Namkubali huyu babu mvuta fegi kubwakubwa
Alikuwa kauzu kwa Wamarekani km dogo mapanki wa Korea...ikumbukwe aliingia madarakani baada ya kushirikiana na makamanda kibao akina Confugesse(avatar ya Mussolini) kumuondoa Rais aliyekuwa ni kibaraka wa USA
Yalijulikana km September Revolution
....
 
NUKUU YA LEO

I have always fought for concrete facts, for justice

Mara zote nimekuwa nikipigania ukweli na haki
ae48aab8bd3baf516c02890ccb72ff82.jpg


Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanamapinduzi, mwanasheria na Rais wa 17 wa Jamhuri ya Cuba Bw. Fidel Alejandro Castro Ruz alizaliwa 13/08/1926 na kufariki dunia nchini Cuba 25/11/2016 akiwa na miaka 90. Na kuzikwa katika makaburi ya Santa ifigenia santiago de cuba.

Fidel atakumbukwa kwa kuwa mwanamapinduzi na muumini wa siasa za kijamaa. Fidel Castro alipigwa sana na mataifa ya kipebari ikiwemo marekani na washirika wake wa magharibi.

Fidel castro atakumbukwa kwa kuepuka majaribiao ya kumuuwa zaidi ya 600 yaliyopangwa na vyombo vya usalama vya marekani.

Leo ni tarehe ambayo ulinanza uvamizi wa Bay of pigs Invasion na ukadumu kwa siku 3. Ilikuwa vita ya kumpindua fidel castro iliyoratibiwa na CIA kipindi cha rais Dwight D. Eisenhower na kutekelezwa mwaka 1961 chini ya Rais John F. Kennedy

Marekani walitumia zaidi ya Us dollar 13.1 million kuaanda uvamizi huo ulifanyika kwa siku 3 na mwisho majeshi ya Cuba yakashinda.

Nirudi kwenye Nukuu.

Fidel castro alikuwa na msimamo, alitekeleza kile anachokiamini ni sahihi kwa watu wa Cuba . Misingi aliyoweka hai zamani ndio siri ya mafanikio ya nchi ya Cuba leo hii..

Leo Cuba wanatoa Elimu nzuri na huduma nzuri za afya zaidi ya nchi zingine za marekani ya kusini. Wana vyombo vya usalama vizuri . Hayo ndio matunda ya ukweli na haki aliyopigania Fidel Alejandro Castro Ruz.
9344407052d084758818128c0c0cfa3c.jpg

4bc4c65895674139a3adbf4175dacee0.jpg



Descanse en paz Fidel Castro
 
f784ebed13928057795ca7e5c4e75ebd.jpg

Namkubali huyu babu mvuta fegi kubwakubwa
Alikuwa kauzu kwa Wamarekani km dogo mapanki wa Korea...ikumbukwe aliingia madarakani baada ya kushirikiana na makamanda kibao akina Confugesse(avatar ya Mussolini) kumuondoa Rais aliyekuwa ni kibaraka wa USA
Yalijulikana km September Revolution
....
Huyu jamaa alikuwa kichwa balaa...huyu ndio mtu aliyeweza kuvuka vikwazo vya US tuu...

Watu kama kina Noriega walitiwa mikononi ili hali walitrainiwa na us..

Ila fidel alikuwa intellijensia kubwa sana US ..

Us walishamplant hadi mchumba wake wa zamani akampige Fidel risasi...it didn't work

Jamaa alikuwa chuma cha pua..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom