Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
 
Ratiba ya mechi za leo
Belgium playoffs
ab11ef806823a8ac0923a546da93b2e9.jpg

England EPL
c9211657992fba6db832b80e49812cb3.jpg

Kenya premier League
4acb427b9db055ce95f0cf436c24334c.jpg

Spain LaLiga
0f060e2ff0c7a27c225deb59c6bc04c6.jpg
 
Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole mzee
 
Huyu jamaa alikuwa kichwa balaa...huyu ndio mtu aliyeweza kuvuka vikwazo vya US tuu...

Watu kama kina Noriega walitiwa mikononi ili hali walitrainiwa na us..

Ila fidel alikuwa intellijensia kubwa sana US ..

Us walishamplant hadi mchumba wake wa zamani akampige Fidel risasi...it didn't work

Jamaa alikuwa chuma cha pua..
Ni km wanavyohangaishwa na Dogo Mapanki wa North Korea nusu karne sasa wanapiga mikwara tu hawathubutu hata kurusha nyanya tu huko Korea
.....
 
Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sana kaka...

Mungu awape familia uvumilivu na amani ktk kipindi hiki cha mpito
 
Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sana
Na ww ni mtu wa Mbeya? duh nimepamiss
....
 
Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sana mkuu
 
Ni km wanavyohangaishwa na North Korea nusu karne sasa wanapiga mikwara tu hawathubutu hata kurusha nyanya tu huko Korea
Duuh, afu North korea juzi ameshindwa kufanya test ya ICBM

Kuna wadau wanasema yalikuwa fake lakini pia wako wanaohisi kitengo cha Cyber-war cha marekani kimeingilia mfumo wa majaribio wa missiles za nchi hiyo ya Korea kaskazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom