Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
kumkagua lazima ujue asituletee sinema ya romaSawa babaa, pumzika basi love
kumkagua lazima ujue asituletee sinema ya romaSawa babaa, pumzika basi love
Bora nisiujue ukwelikagua si wako unaogopa nn sasa
au mchukue mondray au shededeJamaniiii
HahahaWewe mnataka mkague nini?
Mimi niko pouwa kabisaa
Boss yuko salama saliminihahahhhh mm sitaki labda umchukue mlinzi wake Nyagei mumkague wote
We ni mchochezikamkague boss wako
Acha hizo bhanahalaf usisahau kumkagua![]()
na Roma aliimbaga lete mjeda na akawa mpole hatutaki yajirudie itabidi ukaguliwe tu ata kilazimaMimi kinyozi afu najinyoa mwenyewe...
Chuma cha pua kama Hilter!
Miss wewe piaSijambo nimekumisssss
Sana S
tehBora nisiujue ukweli
Wakuu naomba mniwie radhi kwenye ishu ya NUKUU ZA LEOKwahiyo boss hakuna nukuu na leo?
Hakuna haja yuko fiti kabisa yeye ndio kawateka wale watekajikamkague boss wako
Mekumiss pia jamani... UpoMambo valie
Nimekumiss
umemkaguaBoss yuko salama salimini
Shunie pleasekumkagua lazima ujue asituletee sinema ya roma
Chuga kwema yakheeMarahaba valee..
Habari za chuga ni vipi?
Twende sawa mkuu ...lete mkuu
Tukianza na mechi ya mapema kiukweli spurs naona anashinda tena magoli zaidi ya mawil ...Bournemouth nahisi hana presha kiburi cha point 7 kinamsumbua kutoshuka
west brom na liver kiukweli naiona droo tena sio ya mabao mengi k abisaaa
kule kwa Middlesbrough na arsenoo mpe asernal make lazima wachezaji wafanye kitu presha hiko juu tena anaweza kushinda kwa bao kuanzia 3 ...japo lazima aruhusu japo ata moja
crystal palace nawacheki kwa jicho la tatu mkuu hawarembi siku hizi na the fox lazima wakipate ....Leicester kuchapwa mabao kama mawili itakuwa kawaida Leo ....muuue fox mkuu
Sunderland na west Ham sioni kipya zaidi ya moyez Leo kupata point tatu ..ata moja itamtoshaaa...
stock na hully city ...usifanye kosa lazima stok Leo apate kitu muhindi asikudanganye mpe stock tena 2-1
Everton Everton burnly kama kawaida lukaku na wenzake lazima washinde mbili na kuendelea sio have
Watford na Swansea sioni kipya Leo ...droo ata moja mojaa
man city usimsahau mkuuu atapata hushindi ata kama mfinyuuuu ila 2 zitafika
huyu wa mwisho ebu jifanye umemsahau man u vs Chelsea ...apa ngoma itakuwa ngumu make jossee kukubari kupigwa nje ndani so kizembe ...na Chelsea anaitafuta michezo 5 apigiwe makofi ...Hahahaau mchukue mondray au shedede
Hahahana Roma aliimbaga lete mjeda na akawa mpole hatutaki yajirudie itabidi ukaguliwe tu ata kilazima
Nakupenda ValieMekumiss pia jamani... Upo