BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Unaumiza sana wafanyabiashara,leseni walipe,kodi walipe,ushuru walipe,muda wa kufungua wapangiwe ..sio fair..na hata huo usafi hawafanyi wanalala nyumbani kwa hasiraUtaratibu huu unaniudhi sana