Makapuku Forum

Makapuku Forum

1955 - Dodi Al Fayed anazaliwa.

Alikuwa ni mtoto wa mfanyabiashara wa Misri, Mohamed Al Fayed.

Alikuwa ni mpenzi wa Princess Diana.

Walifariki pamoja mwaka 1997 katika ajali ya gari huko Paris.
0efb0059602be3e520a60ef3fd6850d4.jpg
889d528eccb951ade36d3682e5b8e169.jpg
344dbb155f27a66d9b6aa940eda1e9f3.jpg
22314188c88a93e5be84878eae553b9c.jpg
 
1955 - Dodi Al Fayed anazaliwa.

Alikuwa ni mtoto wa mfanyabiashara wa Misri, Mohamed Al Fayed.

Alikuwa ni mpenzi wa Princess Diana.

Walifariki pamoja mwaka 1997 katika ajali ya gari huko Paris.
Inasemekana waliuawa Kwakua Princes alikua na ujauzito wake hawakutaka kabisa kizazi cha Malkia kipate mtoto wa kiarabu maana angekua mdogo wa wajukuu wa Malkia kwa kushare mama ...R.I.P DODI EL FAYED na PRINCES DIANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom