Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ngoja niendelee na majivuPole sana mkuu ila majivu ni dawa nzuri ya fizi maramojamoja,vitafunwa na mambo ya jumamosi siku hizi unajiandaa ijumaa ndiyo hivyoo
.....
Ngoja niendelee na majivuPole sana mkuu ila majivu ni dawa nzuri ya fizi maramojamoja,vitafunwa na mambo ya jumamosi siku hizi unajiandaa ijumaa ndiyo hivyoo
nikutakie pasaka njema mkuu
unatakaje kumtoa outing mtu humjui zaidi ya kumjua kwa avatar fake nyie bwana eb acheni hizi mambo
asante sana Shunie,
Nimeitika mara 7Umeanza lini Kukataa Shkamo
Juve sasa anachukua ubingwa mfululizo kizembezembeMi muda muafaka wa kurejesha heshima ya Milan iliyopotea kwa siku za karibuni.
Nikutakie nawe pia na makapuku wore, siku moja nitaandaa part ya makapuku, au wapo watakaoogopa maana humu ndani mmh!!nikutakie pasaka njema mkuu
unatakaje kumtoa outing mtu humjui zaidi ya kumjua kwa avatar fake nyie bwana eb acheni hizi mambo
Nina afya njema my dearumeamkaje kaka angu
miss u jamaanMy sisy![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahahhhhNimeitika mara 7
Kwa kweli ni kaka mwema, sijapata ona majukwaa yooote!!! Mungu ampe haja ya moyo wake....hahahhhah ila kaka yetu huyo hana shida kabisa Mungu azidi kumuweka
ana maneno ya kutia moyo sana sana![]()
Mungu yu mwema kwetu wagonjwa wote wanarndelea vizuri na wameruhusiwa tupo nyumbani.nawashukuru kwa kuniombea mbarikiweme zaidi mama mchuchu vipi unaendeleaje
mara ya mwisho nakumbuka ulisema una changamoto unapitia tukuombee hope yanaenda vizuri
jitahidi wanaweza kujaNikutakie nawe pia na makapuku wore, siku moja nitaandaa part ya makapuku, au wapo watakaoogopa maana humu ndani mmh!!
Ndo inavyokuwaga kwaniNimeitika mara 7
nafurahi kusikia hivyo kakaNina afya njema my dear
Trancsend yuko sabatoni msihofukikubwa ni maombi huko aliko awe salama tu hawezi tekwa
hahahahhh na alikua anajua we ni dume kweliKwa kweli ni kaka mwema, sijapata ona majukwaa yooote!!! Mungu ampe haja ya moyo wake....
Ila anisamehe kuna siku nilimchimba biti nikamwambia mie ni dume!!!
Mungu yu mwema kwetu wagonjwa wote wanarndelea vizuri na wameruhusiwa tupo nyumbani.nawashukuru kwa kuniombea mbarikiwe

Hahahahahahahhh na alikua anajua we ni dume kweli
Ni furaha yangu kukuona hapa tena pianafurahi kusikia hivyo kaka