Makapuku Forum

Makapuku Forum

17883060_1327228747368455_8086647571180683264_n.jpg
 
Inasemekana waliuawa Kwakua Princes alikua na ujauzito wake hawakutaka kabisa kizazi cha Malkia kipate mtoto wa kiarabu maana angekua mdogo wa wajukuu wa Malkia kwa kushare mama ...R.I.P DODI EL FAYED na PRINCES DIANA
7cc7aa97274a7b9d91db6c7b33bea50d.jpg
3a97f807d489e850ed22349c04ec7061.jpg

Yanesemwa mengi lkn chanzo kikuu cha ajali kinachojulikana ni mapaparazi waliokuwa wanalifukuza gari lao ili wawapige picha za udaku...hivyo walikuwa wanawakimbia mapaparazi matokeo yake gari likapoteza mwelekeo na kugonga nguzo/mti
....
 
Yanesemwa mengi lkn chanzo kikuu cha ajali kinachojulikana ni mapaparazi waliokuwa wanalifukuza gari lao ili wawapige picha za udaku...hivyo walikuwa wanawakimbia mapaparazi matokeo yake gari likapoteza mwelekeo
....
Asante mkuu...nalo hilo lilikuwapo na ukweli walikua speeed kubwa..wapumzike kwa amani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom