BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Tunakumiss sana Shunie,pole na majukumu karibu mpendwa ubarikiwenimewamiss hii familia niwatakie asbh njema na maandalizi mema ya pasaka nawapenda sana
Tunakumiss sana Shunie,pole na majukumu karibu mpendwa ubarikiwenimewamiss hii familia niwatakie asbh njema na maandalizi mema ya pasaka nawapenda sana
Mbona muda sana na kweli wanapigwa fine na kufungiwa biashara ...ndio Tanzania ya viwandaWakuu nilikuwa sijui kumbe jumamosi ni marufuku kufungua duka wala ofisi kabla ya SAA 4
Nimejikuta napigia mswaki majivu duh
Hii serikali noma ht kununua vitumbua tusubiri ifike SAA 4
.....
Lazima uyamiss mamy...hahahhahah nacheka kama mazuri nilimiss mambo kama haya jamaan
Pole sana mkuu ila majivu ni dawa nzuri ya fizi maramojamoja,vitafunwa na mambo ya jumamosi siku hizi unajiandaa ijumaa ndiyo hivyooWakuu nilikuwa sijui kumbe jumamosi ni marufuku kufungua duka wala ofisi kabla ya SAA 4
Nimejikuta napigia mswaki majivu duh
Hii serikali noma ht kununua vitumbua tusubiri ifike SAA 4
.....
me zaidi mama mchuchu vipi unaendeleajeTunakumiss sana Shunie,pole na majukumu karibu mpendwa ubarikiwe
Mmmmhhahahhah atakua kwenye kuhangaika tu labda net hamna alipo kuwa na amani zote
DadaLazima uyamiss mamy...
Emyta alikuwa anakuulizia
Nataka nikutoe outkuwa wapi kivipi
hahahaahh emmyta masikini nitakutana nae mmuLazima uyamiss mamy...
Emyta alikuwa anakuulizia
Happy to see youhahahhah atakua kwenye kuhangaika tu labda net hamna alipo kuwa na amani zote
Amewaza nini kujiita bibi yake?just thinking..something is wrong au yeye anatabia hiyo....anyway mtu hunena kilichojaa moyoni mwakeAfrican leader

hahhahahhha bas tumuombee tuMmmmh
Hapo kwenye amani pagumu ujue
1912 - Thomas Andrews anafariki Dunia.
Alikuwa ni mfanyabiashara na mtengenezaji wa meli ya Titanic.
kaka shikamoo naona umebadili avatar sijakujua kabisaDada
KakaDada
Sawa mamyhahahaahh emmyta masikini nitakutana nae mmu
Mara 7kaka shikamoo naona umebadili avatar sijakujua kabisa
asante sana ila sihitaji kutolewa out mkuuNataka nikutoe out
Happy to see you tooHappy to see you