Makapuku Forum

Nyinyi T na Leee nimekuja JF kuchat sijaja kubeba waume za watu kwenye miugomvi yenu huko msinishirikishe kama hamjui utani hana haja ya Ku quote kitu alicho post MTU km unahisi kimekukeraa llooooo wanaume ninao mpk wengine nimewasahauuu poleni mnaobabaika fyuuuuuuu
 
Mdogo wangu mbona sisi na lee tunataniana


Wewe umechukulia serious...?

Huu ndo utani wetu wala haujaanza leo...
 
Juve ana tabia ya kubadilika japo kwa mechi Tatu zilizopita hajacheza ipasavyo hasa game dhidi ya Napoli akipoteza kwa 3-2 ile performance haikuwa nzuri pia game ya juzi vivyo hivyo, yote kwa yote game ni nzuri sana MSN wanataka kurudisha ubutu walioupata dhidi ya Malaga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…