Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Kwanini mkuuShedebe toa hiyo avatar ya banned
Kwanini mkuuShedebe toa hiyo avatar ya banned
Makapuku wenzangu, naimani siku imeisha vizuri na tunajiandaa kupumzika, sisi night shifters ndo kumekucha maana tumelala mchana.
Wote tunajua utamu wa gitaa, na bila kujali unapenda muziki wa dansi au dini basi sauti ya nyuzi za gitaa hata kama hupendi zitakusisimua.
Tanzania tuna wapiga gitaa wazuri sana na wengine ni wa wakati wote, mkumbuke Kassim Mponda, Hamza Kalala na bantu Group, Maneno Uvuruge na Super 'reinboli', Rashid Kizunga, Adolph Mbinga na Mchinga, Dr Remmy Ongala (RIP Ramadhan Mtoro) kuwataja wachache.
Huko USA wapo wengi pia lakini Buddy Guy alionesha umahiri mkubwa sana katika kulicharaza gitaa, na Buddy Guy, aliweza kuwa mfano mzuri kwa kina Eric Clapton, Johnny Winter, na Hubert Sumlin.
hapa angalia mubashara ucharazaji wa magitaa toka kwa wakongwe kama nilivyoitoa YouTube
Kwa matokeo haya Clkey haonekani humu hata kwa dawa
HaikupendeziKwanini mkuu
teh teh! na wapuliza filimbi pia usiwasahau mkuuHa hahahha, usikonde, unamjua mpiga tumba maarufu wa Twanga, marehemu MCD
Next uje umlete George Benson
Kwanzia leo uwe unamlinda sakayo..
Yaani hata akitana dear mahali na mtu...
Report it me immediately..
Kazi njema! Nasema kapige kazi

Naona unamgeza dr.lee utafeli kaka yule ni dr. Sijui aliangalia vigezo vip akaniamin my self
In professional aliona nafaa kuwa body guard wa shunie ila leo naisi nikama nimemuuzi sana wacha apumzike kesho nimpe ripoti yote...

Namfikiriahahahhahah kwan ripoti inaendelea najua mkataba umeisha
Pamoja sana.
Huyu alijikita zaidi kwenye Jazz na kuimba, alikuwa ni gwiji mwingine wa kukung'uta gitaa, sema lake alikuwa anapiga taratibu maana alichanganya Jazz na R&B.
Aliwahi kutwaa tuzo kibao za Grammy, moja ya wimbo wake ni huu
maalum kwako BlessedHope
teh teh! na wapuliza filimbi pia usiwasahau mkuu
Asante mkuuuMatokeo ya mechi za tarehe 10/4/2017
VPL
![]()
Msimamo ulivyo sasa
![]()
EPL
![]()
Poleni Arsenal naona mmeupenda sasa mtaa wa sita
Ahaaaaaah mkuu tuliyazungumza mapema kuwa hii top four pasua kichwa umejionea mwenyewe ila credit kwa palace kuendelea kuvuna point kwa vigogo inaweza matumaini ya kuendelea mwakani kùuza tiketi kwa mashabiki wake....
Big Sam..... Haya bhn. Kifupi tu ni
kwamba arsenal inahitaji mambo
mapya, watu wapya na mbinu mpya
basi katika Msimu huu wa lawama.
FT: Crystal Palace 3-0 Arsenal.
LaLiga
![]()
Asante mkuuuMatokeo ya mechi za tarehe 10/4/2017
VPL
![]()
Msimamo ulivyo sasa
![]()
EPL
![]()
Poleni Arsenal naona mmeupenda sasa mtaa wa sita
LaLiga
![]()
Ahaaaaah bhinamu mukongo alituzidi kete ila sio mbaya ...lindo linaendelea vizuri na mm mtaa wa pili huu yumewakamata vidogo vinatusaidia kusogeza mdaAsante mjomba, umeona Nyagei kataka kumjua Benson mimi nikamfahamisha na kudedicate jisongi kwa BH, ukisikia mabao ya faulo ndo haya sasa😀, weka ugoko naweka chuma
Ahaaaaah bhinamu mukongo alituzidi kete ila sio mbaya ...lindo linaendelea vizuri na mm mtaa wa pili huu yumewakamata vidogo vinatusaidia kusogeza mda
HahahaKwanzia leo uwe unamlinda sakayo..
Yaani hata akitana dear mahali na mtu...
Report it me immediately..
Kazi njema! Nasema kapige kazi