Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
wana bahati wapo mwanza wangekua taifa chupa zingewahusu
mda wote mpira wanatawala mbao
wana bahati wapo mwanza wangekua taifa chupa zingewahusu
Watu na Bashite.....watu na makapuku forum
mbao zimemtandika kweli.wana bahati wapo mwanza wangekua taifa chupa zingewahusu
mda wote mpira wanatawala mbao
Wasukuma na Wahaya kwa sifa!!wana bahati wapo mwanza wangekua taifa chupa zingewahusu
mda wote mpira wanatawala mbao
acha tu fakalava simba leo wanauzimbao zimemtandika kweli.
Msameheni bure, kichapo cha siku mbili si mchezo!!Uko vizuri
Sawa ShemelaMie hata usiniwazie kabisaa
GreatAlishatangazwa mtakatifu toka Sept. 5 2016 kwenye feast day yake na kumbukumbu ya kifo chake..
Ni mtakatifu tayari..
Hilo lilikuwa wazi, leo ndo anasema hayuko vizuri kiafya wakati siku anaonekana alituhakikishia yuko poa!!!Waliomteka ROMA nafikiri wamefanikiwa pia kuziteka akili zake
Ameongea pumba tupu
......
Wenye Simba yao wakaichukue tuuSIMBA SPORT CLUB MIGUU JUU KICHWA CHINI,,,,WAAACHIENI YANGA UBINGWA WAO TU
Chelsea fans here
Lee Empire & mkubhi
Man United fans here
Nyagei, Shunie & Transcend
Wengine tuta-update tukijua position zenu.
HahahaNa hii mechi wakifungwa watapewa point za mezani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......
VizuriShuleni nilikiwa naitwa chicharito!
Nadhani ushaelewa mimi ni mnazi wa OT..
MfyuuuuWenye Simba yao wakaichukue tuu
Huwezi jua katishwa vipi huko, na inawezekana hata pale yupo mtekaji!!!Sikuwahi kufikiria kama Roma ni mpumbavu kiasi hiki naamini sasa alichokiandika nay wa mitego
Ndio zilizobakiHizo ndio game zake![]()
Ila hatofunguka sanaWakuu J3 si ishaingia...mbona ROMA hafunguki tu au bado wapo stationery wanaprint makaratasi
......