Makapuku Forum

Mimi kwa EPL ya mda huu m-bet wanipe likizo kwanza.... Kwa maana timu nyingi zinapambana kujiweka mahari pazr...

Kuna zile za big four kwa UEFA

Kuna zile nafasi 5-7 kwa UEROPA

Na zile za kupambana kujiokoa zisipotee kwenye EPL

Hakakika hii ni vita tosha!!!!
 
Pia pale Kanisa katoliki Kigogo Mburahati kuna kituo chake cha kulelea watoto yatima nafikiri aliwahi kuja miaka ya 90's japo sina kumbukumbu wala uhakika wa ujio wake
....
.
 
Mkuu kweli nyie gombanieni huko na mkiwa mnajiandaa kuja kutuvisha medali blues!!!
 
Big up mkuu nimeipenda sana nukuu ya leo inagusa sana
Aliyetegwa>>>>Aliyetengwa.
Mkuu

Hizi nukuu mimi siweki tuu kwa kuwa nilisema nitaweka nukuu..

Nataka hizi nukuu zibadilishe maisha ya members humu..

Yaani, kila siku ujifunze kupitia hizi nukuu..

Ni muhimu sana kama unaweza kuzifanyia kazi at leat kwa 51% if not 100%

Nawapenda makapuku..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…