Aggyjay umefanya vyema kuomba msamaha, ndo maana nakupendasawa basi mi najishuaha..nsamehe
Ndoa njema wakuu
Sema chochote....@manuu ni muelewa na huwez kunigombanisha naeShem yamekuwa hayo?
Au unataka nimwambie manuu ile inshu ya jana!
Mkuu nimemwonya aggyjay amejirekebisha, ameomba msamaha
si wewe ndo umeanza na kutaka youngblood akutafutie mke..Unanipenda kweli wee??
Hujiuliz nko kwenye hali gani unaniita mie laghai..kama nlikua naumwa au nimpata ajali..Endelea kutafuta mke mwingine

Nilikuwa natania maana youngblood kaniambia umeniacha hivyo inabidi nitafute mwingine baada ya kuona mwelekeo unaenda vibaya.yupo serious hatanii..Muulize!!
manuu shemeji yangu,hujapokea maono ya couple ingine toka majuzi?Shem yamekuwa hayo?
Au unataka nimwambie manuu ile inshu ya jana!
Mupenzi unikumbuke japo kwa barua.Katika igizo hili niiligiza kama mchungaji mwenye utata, lengo ni kutoa ujumbe wa kuwasuta wachungaji wenye tabia za utata japo hujizolea umaarufu wa muda, kwa kuwahadaa washirika na jamii.
Kimsingi siipendi hii tabia inadhalilisha kanisa sana.
Naikataa roho hii mbaya kwa jina la Yesu.
Wakuu nawaaga hadi baadae nawapenda sana.
Cc.
My broo manuu
Youngbood
Th name
Mandelaa kiwelu
Bitoz
Valentina
Nahrene
Ameizing lady
Patience123
Lizzie
Emmyguy
Aggyjay
Jimena aka akili kubwa
Na makapuku jamaa na marafiki
Bye
sawa 🙁🙁Nilikuwa natania maana youngblood kaniambia umeniacha hivyo inabidi nitafute mwingine baada ya kuona mwelekeo unaenda vibaya.
Mkuu manuu, mwambie mwandani wangu aggyjay awe mpole maana kosa ni la kwake na sio mimi.EMMYGUY kuja huku ndugu yangu walahu useme neno aggyjay shemeji yangu aridhike...Naamini ulikuwa ukitania..please njoo uthibitishe hilo hapa.. youngblood ndugu yangu njoo huku ipo shida kidogo hapa..
Bye!Katika igizo hili niiligiza kama mchungaji mwenye utata, lengo ni kutoa ujumbe wa kuwasuta wachungaji wenye tabia za utata japo hujizolea umaarufu wa muda, kwa kuwahadaa washirika na jamii.
Kimsingi siipendi hii tabia inadhalilisha kanisa sana.
Naikataa roho hii mbaya kwa jina la Yesu.
Wakuu nawaaga hadi baadae nawapenda sana.
Cc.
My broo manuu
Youngbood
Th name
Mandelaa kiwelu
Bitoz
Valentina
Nahrene
Ameizing lady
Patience123
Lizzie
Emmyguy
Aggyjay
Jimena aka akili kubwa
Na makapuku jamaa na marafiki
Bye
Sawa nani sasa!sawa 🙁🙁
sawa honey...Kichwa kinaniumaSawa nani sasa!
Mbona unaniaibisha kiasi hicho mpenzi!