Makapuku Forum

Makapuku Forum

[colo=red]Taharuki [/color]: Jambilo atishia ndoa za watu, wamo wake wa vigogo wa KAPUKUZ FORUM [KF], atumia Neno la Mungu kama ndoano!!

Yule Mch. aliyejizolea sifa na heshima tele hapa KF imefahamika rasmi kuwa ndiye kidudu mtu anayevuruga mahusiano ya watu kwa kigezo cha kuwaome.

Mmoja wa wanafamilia wa KP (jina kapuni) amedhibitisha kuwa toka mwishoni mwa wiki ndoa yake iliyokuwa changa inaelekea kuvunjika sababu ikiwa ni Mch. jambilo, "ni Kweli nipo kwenye wakati mgumu toka huyu Mch. aniombee naona kuna dalili zakuachwa, wife anaondoka bila kuaga, nikim txt wala hajibu kitu kwa kweli sielewi kabisa"

Naye mmoja wa member mkongwe wa KF ametoa ya moyoni kwa kusema "jambilo anatupia watu roho ya kukataliwa, toka ameingia hali si shwari tena, kinachouma zaidi anatumia neno la Mungu kumhadaa mpenzi wangu, alimaliza kwa kusema ila ipo siku yake.

Baada ya shutuma hizo, tuliamua kumtafuta kama ni kweli au laa na alisema kwa sasa nipo kwenye maombi nitafute siku nyingine[/b].
Hahaha mkuu nimecheka sana, huu nao ni ubunifu.
Hii ni zaidi ya Tamthilia, cjui tuiandike vile!
Mandelaa kiwelu uko juu
 
318166f2f1f65ee830b89fc3d5e70aa8.jpg
2a55358f48ebacd17db53912e10e1776.jpg
49e50c292357582509777b3c94bea33a.jpg
 
Nimekuja sweetheart,ila ninasikitika pia kwa kuwa naona umepanga outing na amaizing wakati mimi hujawahi kunitoa japo hapo grocery kwa mangi kupata japo chupa moja ya maji ya uhai.
Shemeji jambilo ni ndugu yangu na huwa sina mashaka nae akiwa na wife amaizing popote naamin watakuwa salama tu..Ila shida imekuja kama kumbe wewe hajawai kukutoa out? Hii haifai Mtumish leo ni leo sijui nitakusaidia kwa lipi sasa maana kila mahali ni tuhuma tu..
 
[colo=red]Taharuki [/color]: Jambilo atishia ndoa za watu, wamo wake wa vigogo wa KAPUKUZ FORUM [KF], atumia Neno la Mungu kama ndoano!!

Yule Mch. aliyejizolea sifa na heshima tele hapa KF imefahamika rasmi kuwa ndiye kidudu mtu anayevuruga mahusiano ya watu kwa kigezo cha kuwaome.

Mmoja wa wanafamilia wa KP (jina kapuni) amedhibitisha kuwa toka mwishoni mwa wiki ndoa yake iliyokuwa changa inaelekea kuvunjika sababu ikiwa ni Mch. jambilo, "ni Kweli nipo kwenye wakati mgumu toka huyu Mch. aniombee naona kuna dalili zakuachwa, wife anaondoka bila kuaga, nikim txt wala hajibu kitu kwa kweli sielewi kabisa"

Naye mmoja wa member mkongwe wa KF ametoa ya moyoni kwa kusema "jambilo anatupia watu roho ya kukataliwa, toka ameingia hali si shwari tena, kinachouma zaidi anatumia neno la Mungu kumhadaa mpenzi wangu, alimaliza kwa kusema ila ipo siku yake.

Baada ya shutuma hizo, tuliamua kumtafuta kama ni kweli au laa na alisema kwa sasa nipo kwenye maombi nitafute siku nyingine[/b].
Cc: jambilo
 
Taharuki jambilo atishia ndoa za watu, wamo wake wa vigogo wa KAPUKUZ FORUM [KF], atumia Neno la Mungu kama ndoano!!

Yule Mch. aliyejizolea sifa na heshima tele hapa KF imefahamika rasmi kuwa ndiye kidudu mtu anayevuruga mahusiano ya watu kwa kigezo cha sala.

Mmoja wa wanafamilia wa KP (jina kapuni) amedhibitisha kuwa toka mwishoni mwa wiki ndoa yake iliyokuwa changa inaelekea kuvunjika sababu ikiwa ni Mch. jambilo, "ni Kweli nipo kwenye wakati mgumu toka huyu Mch. aniombee naona kuna dalili zakuachwa, wife anaondoka bila kuaga, nikim txt wala hajibu kitu kwa kweli sielewi kabisa"

Naye mmoja wa member mkongwe wa KF ametoa ya moyoni kwa kusema "jambilo anatupia watu roho ya kukataliwa, toka ameingia hali si shwari tena, kinachouma zaidi anatumia neno la Mungu kumhadaa mpenzi wangu, alimaliza kwa kusema ila ipo siku yake.

Baada ya shutuma hizo, tuliamua kumtafuta kama ni kweli au laa na alisema kwa sasa nipo kwenye maombi nitafute mda mwingine
Cc: manuu
 
Shemeji jambilo ni ndugu yangu na huwa sina mashaka nae akiwa na wife amaizing popote naamin watakuwa salama tu..Ila shida imekuja kama kumbe wewe hajawai kukutoa out? Hii haifai Mtumish leo ni leo sijui nitakusaidia kwa lipi sasa maana kila mahali ni tuhuma tu..
Acha tu shemeji,naamini hiki ni kipindi cha mapito kwa baba mtumishi. Wacha tupige maombi tuone ni wapi tumekosea,maana karama ya mtumishi inafuja kwa kasi.
 
Shemeji jambilo ni ndugu yangu na huwa sina mashaka nae akiwa na wife amaizing popote naamin watakuwa salama tu..Ila shida imekuja kama kumbe wewe hajawai kukutoa out? Hii haifai Mtumish leo ni leo sijui nitakusaidia kwa lipi sasa maana kila mahali ni tuhuma tu..
Unajua ninajiandaa kumpeleka Ngurdoto lodge arusha, ninajaribu kumfundisha nana ya ku bihavu awapo hotelini, unajua shem wako sio mzoefu wa mambo haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom