Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Nashkuru Mungu niko njema sana kaka akeeUpo?? U hali gani... Vale...
Nashkuru Mungu niko njema sana kaka akeeUpo?? U hali gani... Vale...
Tupo pamoja sana ndugu yangu......Basi tufanye hivyo kaka
Usitie shaka shem sisi ni watu tunaofanya kwa vitendo sana ...So lazima tutimize ahadi hii..Si tunasubiri shem
Makubwa..!!kumbe ndio maana wadada wakija kwenye maombi unanituma tuma sana ili upate time ya kuchombezana nao??? Sikuweziiii mtumishi.Mkuu ilikuwa ni zuga tu watu wasishtuke, ulimi wangu ni mtu balaa, hawa viumbe wakija kwenye maombi..ninapowapa ushauri huwa wanasema wanajuta kuchelewa kuonana nami labda ningefunga nao ndoa, hivi huoni wale waliopotelewa na wenzi wanahisi wako kwangu!
Ooooh sweetydarling umekuja, miss you sana,Nilimuasa baba mtumishi asiwafanyie maombi wadada,kwa sababu wadada ndio maradhi yake makubwa,akadai kuwa Jimena anataka kuungama tu basi,cha kushangaza wamejifungia eti anamuombea toba,matokeo yake ndio haya shemeji. Wacha nipeleke hili kwa baba paroko maana mtumishi sasa anahubiri meno badala ya neno.
Hawana mvuto zaidi yako, kwako nimefika sioni mwingine my loveMakubwa..!!kumbe ndio maana wadada wakija kwenye maombi unanituma tuma sana ili upate time ya kuchombezana nao??? Sikuweziiii mtumishi.
Thanx bae..love you moreThanks honey the same applies to you too...Love you so much...
Sawa shemUsitie shaka shem sisi ni watu tunaofanya kwa vitendo sana ...So lazima tutimize ahadi hii..
Nimekuja sweetheart,ila ninasikitika pia kwa kuwa naona umepanga outing na amaizing wakati mimi hujawahi kunitoa japo hapo grocery kwa mangi kupata japo chupa moja ya maji ya uhai.Ooooh sweetydarling umekuja, miss you sana,
Jimana tumetoka naye mbali sana ni ngumu kututenganisha japo urafiki wetu ni wa kawaida tu
wifi vipi tena , outing niliioiona leo ni ya mume wangu.... huko kwenu mie simoooNimekuja sweetheart,ila ninasikitika pia kwa kuwa naona umepanga outing na amaizing wakati mimi hujawahi kunitoa japo hapo grocery kwa mangi kupata japo chupa moja ya maji ya uhai.
Asante my love japo shingo upandeHawana mvuto zaidi yako, kwako nimefika sioni mwingine my love
Umeniwahi, nimewaita ameizing na lizzie waje tutoke pamoja nawe tukapate pamoja, bila shaka unawaamini japo nao ni warembo!!Nimekuja sweetheart,ila ninasikitika pia kwa kuwa naona umepanga outing na amaizing wakati mimi hujawahi kunitoa japo hapo grocery kwa mangi kupata japo chupa moja ya maji ya uhai.
Shemeji wacha turudi magotin mwa bwana naamini Mtumishi hajapotea kwa kiasi kikubwa saaaana jambiloNilimuasa baba mtumishi asiwafanyie maombi wadada,kwa sababu wadada ndio maradhi yake makubwa,akadai kuwa Jimena anataka kuungama tu basi,cha kushangaza wamejifungia eti anamuombea toba,matokeo yake ndio haya shemeji. Wacha nipeleke hili kwa baba paroko maana mtumishi sasa anahubiri meno badala ya neno.