Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndio Mkuu, umeona kasi aliyokuja nayo ya kuniacha?
Ngoja nikutag, mwanamke amekoswa staha kwa mumewe ya kunyenyekea na amekuja na ripoti ya kufunga vilago. Inaonyesha dhahiri alikuwa kwa mchepuko.
Mkuu, una maamuzi kwenye hii ndoa iliyo ukingoni.
si wewe ndo umeanza na kutaka youngblood akutafutie mke..Unanipenda kweli wee??
Hujiuliz nko kwenye hali gani unaniita mie laghai..kama nlikua naumwa au nimpata ajali..Endelea kutafuta mke mwingine
 
0cc02cabbf9a089206786072d350bfc6.jpg
b399c81c7a6b41e7f7646f0a1b144d1a.jpg
92818fa37f9d425bbec10a44ea95ae04.jpg
7f75496061840ed77001394ae847b4cf.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom