Ni kweli ndugu aNGU mimi mwenyewe namkubali sana shemeji yangu....Hapo nimekuelewa kaka. Mpenzi wangu yuko simple sana wala usijali
Sio mapepo ni nguvuWe umeona wapi mchungaji ana mapepo!
Hata sisi hatuna maandalizi mengiNdivyo nilivyomaanisha ndugu yangu wapi lizziebettie, Wap mama la mama toto zuri sana amaizing...Please kuna offer ya dinner usiku wa leo na hii ni candle light dinner so please mjiandae mapema maana mimi na ndugu yangu hatuna maandalizi mengi kama nyie..
Ila kwanini tusifanye ijumaaNi kweli ndugu aNGU mimi mwenyewe namkubali sana shemeji yangu....
Basi ni sawa tu shem ila ntakachofanya ntakuwa nawachukua movie ili nije nijiridhishe kesho yake kuwa mikono yao ilikuwa mahali sahihi kwenye kila mwili wa mwenzake...Na wewe utakuwa umebaki na nani sasa shemeji?Maana tutakuwa kwenye table for four?Hahaaa utabaki mwenyewe shem
OkayNi kweli pia amesema hivyo honey.
si wewe ndo umeanza na kutaka youngblood akutafutie mke..Unanipenda kweli wee??Ndio Mkuu, umeona kasi aliyokuja nayo ya kuniacha?
Ngoja nikutag, mwanamke amekoswa staha kwa mumewe ya kunyenyekea na amekuja na ripoti ya kufunga vilago. Inaonyesha dhahiri alikuwa kwa mchepuko.
Mkuu, una maamuzi kwenye hii ndoa iliyo ukingoni.
Namuamini mme wangu! Nitabaki naww kumbeBasi ni sawa tu shem ila ntakachofanya ntakuwa nawachukua movie ili nije nijiridhishe kesho yake kuwa mikono yao ilikuwa mahali sahihi kwenye kila mwili wa mwenzake...Na wewe utakuwa umebaki na nani sasa shemeji?Maana tutakuwa kwenye table for four?
Mmmmh hapana. Tutarudi wote mpenziNamuamini mme wangu! Nitabaki naww kumbe
Sawa mpenzMmmmh hapana. Tutarudi wote mpenzi
Nashukuru umenielewa honeySawa mpenz
Sawa mtatukuta shem!Basi ni sawa shemeji yangu kwenye saa 12 hivi tutawapitia hapo tutakuwa na Th Name
Nakupenda babe!Nashukuru umenielewa honey