Makapuku Forum

Sio chura wala sio flat

Kitu dondola kaka ndio ugonjwa huo
 
Mke wa zamani nilimuacha kwa sababu ya arsenal..

Arsenal wakifungwa tuu sipiwe siku hiyo..hata kama ni siku ya ratiba..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Nimekumbuka mbali kidogo

Kuna mmoja yeye alikuwa hapendi kabisa asikie kitu mpira basi ni kununiwa siku mbili
Ila alikuwa fans mkubwa wa Chicharito
 
Wakuu woooote..

Nawatakia usiku mwema..

Mungu awe nanyi nyote.
[emoji120] [emoji120] Ulale unono
Usiku mwema jamani mlale salamaa bilakumsaha mpenz wangu Paprika NAKUPENDA sana!
Obe ndio mida yako hii kuja kukesha humu Goodnight bro.
Na kwako pia kisheti
Wana familia jamani muwe na usiku mwema wote!!!

Mungu wangu na awalinde wote!!! Nawapenda ila T nampenda zaidi jamani!!!
Ahsante shem wane
Na kwako pia
Naona kila mtu anaaga saa mimi tabaki Na nani
Nipo hapa
Shemeji yenu ananibana sana wakuu hanipi mda nibadilishane mawazo na jamaa zangu
Bila shaka shem wetu ana chura matata ndio maana unakubali kubanika
 
[emoji49] [emoji49] [emoji49] [emoji49] we majini yanakunyemelea wewe
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…