Makapuku Forum

Wakuu woooote..

Nawatakia usiku mwema..

Mungu awe nanyi nyote.
Ulale unono
Usiku mwema jamani mlale salamaa bilakumsaha mpenz wangu Paprika NAKUPENDA sana!
Obe ndio mida yako hii kuja kukesha humu Goodnight bro.
Na kwako pia kisheti
Wana familia jamani muwe na usiku mwema wote!!!

Mungu wangu na awalinde wote!!! Nawapenda ila T nampenda zaidi jamani!!!
Ahsante shem wane
Na kwako pia
Naona kila mtu anaaga saa mimi tabaki Na nani
Nipo hapa
Shemeji yenu ananibana sana wakuu hanipi mda nibadilishane mawazo na jamaa zangu
Bila shaka shem wetu ana chura matata ndio maana unakubali kubanika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…