Makapuku Forum

Makapuku Forum

Your excellence Kapuku Founder mr .Bitoz

Distinguished Kapuku Supporters..

Ladies and gentlemen..

Goodmorning all...

Awali ya yote nitoe shukuran zangu walionipokea makapuku mwaka jana.

Mwanzoni kabisa nilikuwa sielewi makapuku pako vipi..na kweli ukija huku weww ni mgeni lazima uwe na maluwe-luwe manake watu wanapiga stori as if wanalala nyumba moja.. kama ni mgeni lazima uvurugwe..

So nilikaa kama week nasoma tuu comment bila kulike wala kukoment chochote..japo forum ilikuwa imelala sana..baada ya muda nikaondoka nikifikiri forum imekufa ..

Ila kila baada ya muda nilipita kuangalia..siku ya kwanza kucomment ilikuwa ni salamu kwa Broo Quigley na mussolin5

Nilijifunza kwanza kusalimia tuu..

Wakati huo nilikuwa sana jukwaa la jf-intelligence na jukwaa la siasa.

Baada ya muda nilipazoea huku kidogo kidogo so nikawa nakuja kapuku kila siku..

Hapa nina marafiki wengi sana! Nitoe tuu shukrani zangu kwamba nikichoka huwa nakuja kurefresh hapa..naweza nisiingie whatsapp siku nzima ila makapuku naingia..

It has been a nice and stressless zone for me..Wengine hapa ni marafiki hadi nje ya makapuku forum and thats how friends should live..

Nitoe shukrani za dhati kwa Quigley, shululu, Queen kan, Obe, Tetra, shunie, Sakayo wangu, nyagei, blessesdhope, werrason, shedede, lee empire, Baily5, Bitoz,Jimena,Mondray,paprika,Clkey,johnsonmgaya,fakalava,mkoroshokigoli,Rogie,SHIMBA YA BUYENZE,PRONDO,Aisha,snipes,Rayvan boy,mussolin5,mkubhi na wengine woooote ambao sijaweza kuwataja hapa ila tuko pamoja..

Mualike makapuku wengine ! Kizazi cha kina Transcend kinapita ..


Happy One year anniversary to you kapukuz..
Daaaah
Mie hata sijui nianzie wapi ila niseme tuu happy birthday kapuku!!!
 
Asante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana

happy bithday makapuku

Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.

Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......

THE BORD GUARD
 
Asante sana japo mi niliingia humu kwakuchelewa lakini tupo pamoja sana

happy bithday makapuku

Ni mwaka mmoja sasa tangu uzaliwe kapuku nimengi unapitia sana lakini bado umesimama imara japo kunachangamoto mbali mbali bado umesimama kidete uishi miaka mingi zaiidi.

Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo washukuru watu niliowakuta humu makapuku shunie,lee empire,nyagei,billy5,transcend,bitoz,mussolin5,sakayo,mondray,papupi,aisha2016,.......n.k aisee list ni kubwa sana
Japo tulipokeana kwa bashasha la hapa na pale mpaka nikajisainisha humu kapuku na kitanzi nikajivika kama nkurunzinza lakini saivi tupo sawa tunaishi kwa amani sana ......

THE BORD GUARD
Pamoja mkuu
 
Your excellence Kapuku Founder mr .Bitoz

Distinguished Kapuku Supporters..

Ladies and gentlemen..

Goodmorning all...

Awali ya yote nitoe shukuran zangu walionipokea makapuku mwaka jana.

Mwanzoni kabisa nilikuwa sielewi makapuku pako vipi..na kweli ukija huku weww ni mgeni lazima uwe na maluwe-luwe manake watu wanapiga stori as if wanalala nyumba moja.. kama ni mgeni lazima uvurugwe..

So nilikaa kama week nasoma tuu comment bila kulike wala kukoment chochote..japo forum ilikuwa imelala sana..baada ya muda nikaondoka nikifikiri forum imekufa ..

Ila kila baada ya muda nilipita kuangalia..siku ya kwanza kucomment ilikuwa ni salamu kwa Broo Quigley na mussolin5

Nilijifunza kwanza kusalimia tuu..

Wakati huo nilikuwa sana jukwaa la jf-intelligence na jukwaa la siasa.

Baada ya muda nilipazoea huku kidogo kidogo so nikawa nakuja kapuku kila siku..

Hapa nina marafiki wengi sana! Nitoe tuu shukrani zangu kwamba nikichoka huwa nakuja kurefresh hapa..naweza nisiingie whatsapp siku nzima ila makapuku naingia..

It has been a nice and stressless zone for me..Wengine hapa ni marafiki hadi nje ya makapuku forum and thats how friends should live..

Nitoe shukrani za dhati kwa Quigley, shululu, Queen kan, Obe, Tetra, shunie, Sakayo wangu, nyagei, blessesdhope, werrason, shedede, lee empire, Baily5, Bitoz,Jimena,Mondray,paprika,Clkey,johnsonmgaya,fakalava,mkoroshokigoli,Rogie,SHIMBA YA BUYENZE,PRONDO,Aisha,snipes,Rayvan boy,mussolin5,mkubhi na wengine woooote ambao sijaweza kuwataja hapa ila tuko pamoja..

Mualike makapuku wengine ! Kizazi cha kina Transcend kinapita ..


Happy One year anniversary to you kapukuz..
Ubarikiwe mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom