Morning broMorning wakuu
HBD..kama mtoto wa Lee na Shunie..naye atakua striker1975 - Robbie Fowler anazaliwa.
Straika wa zamani wa Liverpool, Leeds United na timu ya taifa ya England.
Hawana undugu haoNi km yaliyomkuta Saddam Hussein
Hawa ndio Wamarekani
......
Jana tumekuja kule mkuu,Makapuuuuku Oyeeeeeeee
Nnaona kuna mtu anawazingua huku: https://www.jamiiforums.com/threads/makapuku-forum-ni-forum-ndani-ya-forum.1069224/
Hahahaha Shunie leo jumapili hayo ya nini kipenzi?na wale wapenzi uliosema jana jioni uanze kutafuta bado pia
Oyeeeeee karibu mama FaizaFoxyMakapuuuuku Oyeeeeeeee
Nnaona kuna mtu anawazingua huku: https://www.jamiiforums.com/threads/makapuku-forum-ni-forum-ndani-ya-forum.1069224/
Mzima Bi mkubwa!!Makapuuuuku Oyeeeeeeee
Nnaona kuna mtu anawazingua huku:
HakikaMungu si Athuman na mimi nimeamka salama. Shunie nakusalimu lakini usimwambie mwenyewe kama nimekusalimu maana nimeambiwa na SHIMBA YA BUYENZE kwamba nitajifunza "the hard way" nikijifanya nakusogelea
Wewe sasa unanitisha!!Hakika
KaribuShalom! Naona humu ndani kuna mama mchungaji lakini sisikii kengele za ibada zikilia. Au tunashiriki ibada ya kwa Gwajima!?
Amen- Leo ni Mwaka Mmoja wa Makapuku Forum.
Iliasisiwa na Bitoz na Bailly5 bila kumsahau Jimena ikiwa na lengo la kuleta umoja na usawa kwa baadhi ya members ambao sio wakongwe waliokuwa wanabaguliwa na kutengwa pindi wanapochangia katika threads za wanaojiita wakongwe.
Binafsi sikuwepo wakati inaanza nilikuja kujiunga nayo mwezi mmoja baadae lakini mpaka leo sijawahi kujuta, kwani imenikutanisha na watu wengi ambao nimejifunza mengi kwao bila chuki yoyote zaidi ya upendo wa hali ya juu.
Changamoto ni nyingi lakini tunapambana nazo na ndio maana leo tunatimiza mwaka mmoja kwa kishindo cha hali ya juu.
Kwani hakuna aliyeamini kama KF ingefikia hapa ilipo wengi walidhani ingekufa kibudu wakidhani ni nguvu ya soda.
Hivyo basi, leo tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja, tufarahi, turukeruke, tujidai kwani haikuwa rahisi kufika hapo.
Nitoe tena pongezi kwa waasisi ambao ni;
Bitoz
Bailly5
Jimena
Pengine bila wao leo hii tusingekuwa hapa.
Heri ya Mwaka Mmoja kwa Makapuku Forum.
OyeeeeeeLeo ni tarehe April 9, 2017 huu Uzi uliandikwa tarehe kama ya leo ambayo ni April 9, 2016.
Uzi umetimiza mwaka mmoja na comments 160K.
Makapuku oyeeeeeee
1975 - Robbie Fowler anazaliwa.
Straika wa zamani wa Liverpool, Leeds United na timu ya taifa ya England.
Amen JESUS IS THE KINGLeo Katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema ya Matawi.