Makapuku Forum

Amen
 
Kwaherini Bandugu ngoja nirudi kwenye uwanja wetu wapenda Stress, BTW nimeinjoi kuwa nanyi tangu jana. Ila kama kuna shughuli basi nitarudi maana Shughuli ni watu na watu ndiyo sisi. Kama ikibidi nitabeba na rambo kabisa. Ndizi na pilipili huwa ni kawaida natembea nazo!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…