Makapuku Forum

Amen
 
 
Asalaam aleykum Kapuku's
Tumsifu Yesu kristo Kapuku's
Bwana Yesu asifiwe Kapuku's
Shalom Kapuku's

Sina mengi ya kuzungumza hapa katika kuadhimisha siku yetu ya leo

Napenda tu kutoa rai kwa Makapuku wenzangu kwamba tudumishe amani, upendo na mshikamano ndio silaha kuu ili kuzidi kuwa bora.

Happy birthday to all Kapuku's for one year.
 
Ameniiiiiiiii mwekahazina
 
1992 - Mahakama nchini Marekani inamtia hatiani na kumuhukumu miaka 30 jela Kiongozi wa zamani wa Panama, Manuel Noriega kwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya enzi za utawala wake.

Noriega alikuwa ni kibaraka wa CIA lakini walivyotofautiana tu wakamtoa madarakani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…