Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Kaa usubirie gazeti. Tena kaa hapo hapo usiondoke. Wasukuma wapo karibia 10 milioni +. Wote umewajua tabia zao kupitia kwa Shimba ya Buyenze? Au ni yale yale ya Mgema akisifiwa?hahahhh ujue ww kweli msukuma hivi kwa nn wasukuma mpo hivinasubilia gazeti
Nimeshaacha mkuu. Naona mwenyewe ameanza ku-mind. Sifa zimegota kusiko. Nahamishia mashambulizi Kigali...Mkuu acha kumsema my baby swty
Nishapita huko mkuu
Hamna tatizo. Basi huu uzi ni wa wapuuzi watupu.
Soon akishajua ndio janja yako atakuwa anatoa fact fupi fupiMi ht SHIMBA YA BUYENZE napenda kuichezea sharubu na mkia makusudi tu maana naipenda kumuona anakuja na fact rundo "kunizima" zen namkimbia kijanja
.......
Nshakujulia. Safari nyingine huchomoki!Mi ht SHIMBA YA BUYENZE napenda kuichezea sharubu na mkia makusudi tu maana naipenda kumuona anakuja na fact rundo "kunizima" zen namkimbia kijanja
.......
NdioNishapita huko mkuu
Kumbe Bitoz alishawashia kitambo..
Tayari nshausoma mchezo. Mwenyewe utaona. Mbinu mpya...Soon akishajua ndio janja yako atakuwa anatoa fact fupi fupi
Hiyo mutu bora tu hizo fact fupifupi maana inapoteza bure nguvu zake si unaona Hapo juu kachokozwa kaandika fact ndefuSoon akishajua ndio janja yako atakuwa anatoa fact fupi fupi
Nitabuni style nyingine ya kukuzinguaNshakujulia. Safari nyingine huchomoki!
Shimba ya Buyenze >>>>>>Faru ya buyenze.Tayari nshausoma mchezo. Mwenyewe utaona. Mbinu mpya...
...na pia usimdharau unayemjua. Things can change in an instant!...Usimdharau usiyemjua
...............
Ignore themWatu wagomvi jamani daaah
Sijui kinauma nn kuwepo huu uzi.
Haya. Nitakuwa tayari. Lakini pia katika kuandika facts ndefu ndefu hizi pengine mwandikaji ndiye anafaidika zaidi kuliko mwandikiwa, hasa kama akiandikacho hakikinzwi na kuwa abandoned.Hiyo mutu bora tu hizo fact fupifupi maana inapoteza bure nguvu zake si unaona Hapo juu kachokozwa kaandika fact ndefu
Nitabuni style nyingine ya kukuzingua
......
Kuna party? Maana wali wa shughuli huwa haukosi wadandiaji!Wakuu tukutane asubuhi kwenye anniversary ya Kapuku Forum kutimiza mwaka mmoja
One Love
..............
Ha! Ha! Ha! Ha! Si unajua kibao cha mbuzi yake nazi!!Mkuu umemuona Shunie pekee?
OneWakuu tukutane asubuhi kwenye anniversary ya Kapuku Forum kutimiza mwaka mmoja
One Love
..............