2013 - Margareth Thatcher anafariki Dunia.
Alikuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza. Ndio Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.
Alijulikana kama " Iron Lady " kutokana na uongozi wake uliotukuka na wenye msimamo bila kuyumbishwa.
Sijaifuatilia kabisa hiyo series maana ni ndefu napenda series fupi hazichukui muda mrefu sanaKeshatoa episodi moja toka juzi..!
Jamaa kapatikana gereza lililoko Yemen..
Afu lile jina la scofield halitumii tena..
Yaaah dogo kanitumiaababy kumbe na ww umeuona
hahaha huyu mlinzi mpk umemwamini hivi sijui imekuajeNdio baby
Mlinzi ashanitoaa ofu
Huamini wakati alitangaza mwenyewePimbi ndio ina mata vzr..
Ila mm hua siamini kama ni gay.
Kiingilio bando na chajiiiunafanyika wapi mkesha
Pole mkuu..Sijaifuatilia kabisa hiyo series maana ni ndefu napenda series fupi hazichukui muda mrefu sana
Nashukuru kwa historia mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie wikend njema wote.
Sema kivurugee samuutaaimu
Swty njoo pm kuna kitu nimekumbukaa kinachekeshaaapm kwangu unapapenda eenh ktk kitu ambacho sipendi jf ni pm
Mtashinda tuall the best simba yangu
mmh na kinichekeshe kweliSwty njoo pm kuna kitu nimekumbukaa kinachekeshaaa
Akiwa kivurugeeule mahali apate mume mwema msikivu kama lee wangu
hahahh ww ndio unaanza halaf mm nafatia umenifundisha mwenyewe ujue kuwa kivurugeSema kivurugee samuutaaimu
Usijali nitakulinda we mwenyewe utafurahi
hahahhh akiwa kivuruge nan mume auAkiwa kivurugee
Ni mke mwenza wa Bashitehuyu jamaa anatumika vibaya
tena 3 bilaMtashinda tu
Sasa hivi inakuwa kali manake scofield/kaniel outis ameungana na ISIS kina linc na C-note wanataka wamtoe gerezani jamaa amewakana na anadai hawafahamu..Sijaifuatilia kabisa hiyo series maana ni ndefu napenda series fupi hazichukui muda mrefu sana