mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Kweli kabsa anajifanya ndumia kuwili kunyamanzisha watu kumbe kibalaka tyu!!!mnafki mnafki sana
Kweli kabsa anajifanya ndumia kuwili kunyamanzisha watu kumbe kibalaka tyu!!!mnafki mnafki sana
Mondray..Nishabadili now...kwenye rayvanboy.
kama ni kweli itauzika sana tehABoy from Kolomije
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Pamoka mkuushukrani Mussolin kwa histori na Bitoz kwa picha
1938 - Kofi Annan anazaliwa huko Kumasi, Ghana.
Alikuwa ni Katibu Mkuu wa 7 wa Umoja wa Mataifa.
Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel ya mwaka 2001.
Ndio maana kule lee hanioni.pm kwangu unapapenda eenh ktk kitu ambacho sipendi jf ni pm
Hahaaa Si bora iwe hiyo kuliko kuweka ya asie nifahamu.Mondray..
Hufanyi fair kuweka picha ya mtoto!
Rudisha picha Ray van !
Ameeeen karembo kangu kakue nile mahari na mmhongera sana Mungu azidi kukukuzia
anaona kila kinachoendelea kule sbbu nashare nae idNdio maana kule lee hanioni.
ule mahali apate mume mwema msikivu kama lee wanguAmeeeen karembo kangu kakue nile mahari na mm
Hivyo hivyo jama..anaona kila kinachoendelea kule sbbu nashare nae id
Kama babaakeule mahali apate mume mwema msikivu kama lee wangu
kama lee wangu sio baba akeKama babaake
1947 - Robert Kiyosaki anazaliwa.
Ni mfanyabiashara kutoka nchini Marekani.
Pia ni mtunzi wa kitabu maarufu cha Rich Dad Poor Dad.
Mondray..Hahaaa Si bora iwe hiyo kuliko kuweka ya asie nifahamu.
Upogo?ule mahali apate mume mwema msikivu kama lee wangu
Kwa wakubwa eeeh ?anaona kila kinachoendelea kule sbbu nashare nae id
Ila Wabongo hatuna utamaduni wa kupekua na kusoma vitabu. Sisi tunajua Instagram tu.![]()
![]()
![]()
vitabu vyaje ni vizuri![]()
...