Makapuku Forum

Amina mama mchungaji..

Umoja ni kitu muhimu sana.

Kwenye biblia utakumbuka wana wa izrael na umoja wao..

Siku wanaingia nchi ya ahadi..( the land of milk and honey). Utakumbuka mji wa yeriko ulivyotwaliwa..( the fall of Jericho) Joshua; 6:1-

Walivyozunguka mji mara moja kwa umoja wao wakiongozwa na Joshua...

Hapa ndo utajua kwanini Taifa linatakiwa liwe na umoja..

Kwanini Tz tunatakiwa tuwe na umoja...!

Wananchi tungekuwa na umoja leo hii Tz isingikuwa inafanya blundering za ajabu hivi..

Anyway! Ngoja niishie hapa kwa leo.
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…