Kumuondoa Arsen Wenger ni tatizo la kwanza, kuwatuliza mashabiki ni tatizo la pili, kuwabakisha Ozil na Sanchez nalo ni tatizo la tatu...... Alafu tatizo la nne ni kuirudisha Arsenal ndani ya top four......
Na tatizo la tano ni michezo migumu uliopo mbele ya macho yao huku timu ikiwa frustrated kuanzia mbinu mpaka saikolojia........japo juz walifunga
Kumtikisa Stan Kroenke ni kutokununua tiketi za Msimu ujao tu kwaajili ya Wenger ila kukusanya maoni hata 100% na kubeba mabango hakuwezi kupenya kwenye mawani ya Stan Kroenke kirahisi...... Sasa endeleeni kununua tiketi na muendelee kujibebea mabango kwa mazoezi zaidi....
je wajua..??..
kwamba klabu ya mpira wa miguu arsenal ya uingereza ndio timu pekee kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita iliyocheza mechi zote 38(+11 za msimu uliofuata) za ligi msimu wa 2003/04 bila kupoteza na kutwaa ubingwa wa EPL .....!!..