Makapuku Forum




Kumuondoa Arsen Wenger ni tatizo la kwanza, kuwatuliza mashabiki ni tatizo la pili, kuwabakisha Ozil na Sanchez nalo ni tatizo la tatu...... Alafu tatizo la nne ni kuirudisha Arsenal ndani ya top four......
Na tatizo la tano ni michezo migumu uliopo mbele ya macho yao huku timu ikiwa frustrated kuanzia mbinu mpaka saikolojia........japo juz walifunga

Kumtikisa Stan Kroenke ni kutokununua tiketi za Msimu ujao tu kwaajili ya Wenger ila kukusanya maoni hata 100% na kubeba mabango hakuwezi kupenya kwenye mawani ya Stan Kroenke kirahisi...... Sasa endeleeni kununua tiketi na muendelee kujibebea mabango kwa mazoezi zaidi....

Huu ni Msimu wa lawama tu..... Wacha tulaumiane
 
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nilishindwa kuwaleteeni matokeo ya mechi za jana, mniwie radhi wana Kapuku's.

Leo tutapata matokeo kisha na ratiba ya mechi za leo tarehe 7/4/17

Msisahau leo ni Karume day.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…