Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Habari ya kuondoa malori kwa Bashite ni nzuri sana
Habari ya kuondoa malori kwa Bashite ni nzuri sana
Sanasana...umeamkaje mkuu ubarikiweInashangaza
Hii ishu ya EALA mpaka sasa sijaielewa
Njemq mkuu Nyagei za uzima,vipi mvua huko?huku hali tete bado mvua za hapa nq pale..uwe na siku njema mkuu![]()
Habari ya asubuhi mama mchungaji
Ahsante kwa uchambuzi mkuuWakati unamfurahia hazard na ubora wake pia endelea kumkumbuka Perez na zile paund million zake...... Namna anavyotafuta goli, namna anavyofunga na namna anavyochukua Kijiji basi ndivyo na pochi ya Abromovic inavyokaribia kutuna.
Phabian Delphi mpira ulikuwa kwenye miguu yake , kuna wakati alikuwa anapiga pasi tu, kuna wakati alikuwa anaendesha timu kwenda mbele na kuna wakati alimfanya Kante abaki chini zaidi na kuwafanya City kulitawala eneo la katikati na mchezo mzima kabla ya mapumziko.....
Kutokuanza kwa Nemanja Matic kuliwapa faida sana City katika kipindi cha kwanza katika kiungo.... Ila kuingia kwa Nemanja Matic kuliwapa hasara zaidi Manchester city sababu ya nafasi kuzibika kwa ile mianya iliyokuwa ikionekana awali na kuwafanya City kulitawala eneo la kiungo...... Baada ya Nemanja Matic kuingia, Chelsea walionekana kuwa Wengi katikati na kuwaweka bize Manchester city muda mwingi wa mchezo kitu kilichopelekea kupunguza uimara wa city wa awali.
Chelsea anaendelea kumkimbia Tottenham Hotspur katika uhakika wa kunyanyua ndoo Msimu huu....
Chelsea 2-1 Manchester city (hazard 2, Aguero 1)
![]()
Spurs wanatia moyo sana..... Mipango yao inaanza kuizoea ligi sasa..... Ubora wao unaanza kuizoea ligi sasa..... Wachekazaji wao wanaanza kuizoea ligi sasa ila pia miguu yao naona sasa imenogewa na top four.....
Work hard Spurs a hero could be any one... Kile mlichokifanya baada ya goli la kwanza ndicho kilichowafanya muwe ndani ya mbio za ubingwa..... What's a passion..!
Swansea city 1-3 Tottenham Hotspur.
Kweli ni unbelievable
Love you more hubbyNakupenda jojo wangu...
Adventure
Nafurahi kusikia hivyo mume wangu!!!Morning my world..
Hubby wako niko pouwa sana! Leo nimechelewa kuamka kidogo..
Ndo najiandaa now mama. !
I real missed you my love..! Piga kazi kwanza..
Baadaye tutakuwa wote mamie..
Morning Sakayo wa Transcend
Upiganaji mzuri
Asante kwa magazineUdaku...![]()
![]()
Babe Asante kwa nukuu love, tomorrow always belongs to us if you only trust yourself!!!!NUKUU YA LEO
The future belongs to those who prepare for it today
Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.
Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani
Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.
Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
![]()
![]()
Wakuu:
Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!
Make your tomorror!
Transend ..
Dah inasikitisha sana hii
AmenWapendwa makapuku naamini Mungu amewaamsha salama,tuendelee kumshukuru kwa wema wake kwetu,wagonjwa poleni Mungu atawaponya,wenye changamoto yoyote Mungu aingilie kati,waliofiwa poleni sana Mungu awape faraja ya kudumu ..nawatakia siku njema yenye baraka tele..na mpate mafanikio Amen
NUKUU YA LEO
The future belongs to those who prepare for it today
Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.
Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani
Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.
Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
![]()
![]()
Wakuu:
Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!
Make your tomorror!
Transend ..
AmenWapendwa makapuku naamini Mungu amewaamsha salama,tuendelee kumshukuru kwa wema wake kwetu,wagonjwa poleni Mungu atawaponya,wenye changamoto yoyote Mungu aingilie kati,waliofiwa poleni sana Mungu awape faraja ya kudumu ..nawatakia siku njema yenye baraka tele..na mpate mafanikio Amen
Ulisema lako halikosewi?Asante mkuu..!
Nakutakia siku njema mama mchuchu..
Ila Ni Transcend sio Trancsent
