Makapuku Forum

Makapuku Forum

07aca5fe2bf2738f453ae5f55826e066.jpg
Habari ya kuondoa malori kwa Bashite ni nzuri sana
 
Wakati unamfurahia hazard na ubora wake pia endelea kumkumbuka Perez na zile paund million zake...... Namna anavyotafuta goli, namna anavyofunga na namna anavyochukua Kijiji basi ndivyo na pochi ya Abromovic inavyokaribia kutuna.

Phabian Delphi mpira ulikuwa kwenye miguu yake , kuna wakati alikuwa anapiga pasi tu, kuna wakati alikuwa anaendesha timu kwenda mbele na kuna wakati alimfanya Kante abaki chini zaidi na kuwafanya City kulitawala eneo la katikati na mchezo mzima kabla ya mapumziko.....

Kutokuanza kwa Nemanja Matic kuliwapa faida sana City katika kipindi cha kwanza katika kiungo.... Ila kuingia kwa Nemanja Matic kuliwapa hasara zaidi Manchester city sababu ya nafasi kuzibika kwa ile mianya iliyokuwa ikionekana awali na kuwafanya City kulitawala eneo la kiungo...... Baada ya Nemanja Matic kuingia, Chelsea walionekana kuwa Wengi katikati na kuwaweka bize Manchester city muda mwingi wa mchezo kitu kilichopelekea kupunguza uimara wa city wa awali.

Chelsea anaendelea kumkimbia Tottenham Hotspur katika uhakika wa kunyanyua ndoo Msimu huu....

Chelsea 2-1 Manchester city (hazard 2, Aguero 1)






Spurs wanatia moyo sana..... Mipango yao inaanza kuizoea ligi sasa..... Ubora wao unaanza kuizoea ligi sasa..... Wachekazaji wao wanaanza kuizoea ligi sasa ila pia miguu yao naona sasa imenogewa na top four.....

Work hard Spurs a hero could be any one... Kile mlichokifanya baada ya goli la kwanza ndicho kilichowafanya muwe ndani ya mbio za ubingwa..... What's a passion..!

Swansea city 1-3 Tottenham Hotspur.
Ahsante kwa uchambuzi mkuu
 
Morning my world..

Hubby wako niko pouwa sana! Leo nimechelewa kuamka kidogo..


Ndo najiandaa now mama. !


I real missed you my love..! Piga kazi kwanza..

Baadaye tutakuwa wote mamie..

Morning Sakayo wa Transcend
Nafurahi kusikia hivyo mume wangu!!!

Nikutakie kazi njema......
 
NUKUU YA LEO


The future belongs to those who prepare for it today

Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.

Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani

Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.

Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
8fbebb7b93765457092edfb8c48a49d5.jpg


514c6345475c40cf3741a3c9fe9a07a8.jpg




Wakuu:

Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!


Make your tomorror!

Transend ..
Babe Asante kwa nukuu love, tomorrow always belongs to us if you only trust yourself!!!!
 
NUKUU YA LEO


The future belongs to those who prepare for it today

Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.

Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani

Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.

Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
8fbebb7b93765457092edfb8c48a49d5.jpg


514c6345475c40cf3741a3c9fe9a07a8.jpg




Wakuu:

Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!


Make your tomorror!

Transend ..


Got you bro

Ahsante kwa nukuu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom