Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO


The future belongs to those who prepare for it today

Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.

Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani

Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.

Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
8fbebb7b93765457092edfb8c48a49d5.jpg


514c6345475c40cf3741a3c9fe9a07a8.jpg




Wakuu:

Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!


Make your tomorror!

Transend ..
sante kwa nikuu ya leo
 
Wapendwa makapuku naamini Mungu amewaamsha salama,tuendelee kumshukuru kwa wema wake kwetu,wagonjwa poleni Mungu atawaponya,wenye changamoto yoyote Mungu aingilie kati,waliofiwa poleni sana Mungu awape faraja ya kudumu ..nawatakia siku njema yenye baraka tele..na mpate mafanikio Amen
shukran mama mchuchu na kwako pia tunakupenda sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom