Makapuku Forum

Makapuku Forum

105efb6e493bd485c36c23316e164dc8.jpg
 
Wakati unamfurahia hazard na ubora wake pia endelea kumkumbuka Perez na zile paund million zake...... Namna anavyotafuta goli, namna anavyofunga na namna anavyochukua Kijiji basi ndivyo na pochi ya Abromovic inavyokaribia kutuna.

Phabian Delphi mpira ulikuwa kwenye miguu yake , kuna wakati alikuwa anapiga pasi tu, kuna wakati alikuwa anaendesha timu kwenda mbele na kuna wakati alimfanya Kante abaki chini zaidi na kuwafanya City kulitawala eneo la katikati na mchezo mzima kabla ya mapumziko.....

Kutokuanza kwa Nemanja Matic kuliwapa faida sana City katika kipindi cha kwanza katika kiungo.... Ila kuingia kwa Nemanja Matic kuliwapa hasara zaidi Manchester city sababu ya nafasi kuzibika kwa ile mianya iliyokuwa ikionekana awali na kuwafanya City kulitawala eneo la kiungo...... Baada ya Nemanja Matic kuingia, Chelsea walionekana kuwa Wengi katikati na kuwaweka bize Manchester city muda mwingi wa mchezo kitu kilichopelekea kupunguza uimara wa city wa awali.

Chelsea anaendelea kumkimbia Tottenham Hotspur katika uhakika wa kunyanyua ndoo Msimu huu....

Chelsea 2-1 Manchester city (hazard 2, Aguero 1)


[emo

Spurs wanatia moyo sana..... Mipango yao inaanza kuizoea ligi sasa..... Ubora wao unaanza kuizoea ligi sasa..... Wachekazaji wao wanaanza kuizoea ligi sasa ila pia miguu yao naona sasa imenogewa na top four.....

Work hard Spurs a hero could be any one... Kile mlichokifanya baada ya goli la kwanza ndicho kilichowafanya muwe ndani ya mbio za ubingwa..... What's a passion..!

Swansea city 1-3 Tottenham Hotspur.


ha hahahhahaahhah, umehamia Spurs sasa hizi 😱, Chelsea tisha sana tunapika makande kwa kuyabanika
 
NUKUU YA LEO


The future belongs to those who prepare for it today

Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.

Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani

Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.

Mliopata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
8fbebb7b93765457092edfb8c48a49d5.jpg


514c6345475c40cf3741a3c9fe9a07a8.jpg




Wakuu:

Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!


Make your tomorror!

Transend ..
 
NUKUU YA LEO


The future belongs to those who prepare for it today

Maisha ya baadaye ni ya wale wanaoweza kuyaanda leo


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Mwanaharakati na mmarekani mweusi Malcolm Little au Malcolm X ambaapo pia aliitwa el-Hajj Malik el-Shabazz.

Malcolm Alifariki akiwa na miaka 39 kwa mauhaji yaliyofanyika NY katika kitongoji cha Manhattan kwa kupigwa risasi 21 kifuani

Hata hivyo Malcolm X aliacha watoto 6 na mjane mmoja.

Mlipata kusoma historia ya taifa la marekani na pan-africanism mtakuwa mnamkumbuka huyu jamaa vizuri.
8fbebb7b93765457092edfb8c48a49d5.jpg


514c6345475c40cf3741a3c9fe9a07a8.jpg




Wakuu:

Tuandae kesho yetu leo! Ukitakata uwe na nyumba mwakani lazima ujiandae leo! Ukitaka kuwa mtu wa namna fulani lazima ujiandae leo..!


Make your tomorror!

Transend ..
Asante mkuu ...hope uko poa

Nakuu safi kabisa maneno kuntu

plan 2day enjoy 2moro
 
Umeamkaje sweetie, niko salama mume wangu!!!

Nawahi mazoezi we pumzika kidogo.....

Mmeamkaje wana familia, nawapenda wote....

T mume wangu, usiwe na hofu mie ni wako peke yako..... Nakupenda pumzi yangu
Morning my world..

Hubby wako niko pouwa sana! Leo nimechelewa kuamka kidogo..


Ndo najiandaa now mama. !


I real missed you my love..! Piga kazi kwanza..

Baadaye tutakuwa wote mamie..

Morning Sakayo wa Transcend
 
Nililala salama mume wangu, naamini na wewe umeamka salama!!!

Naelekea kwenye zoezi then nijiandae kwa ajili ya kazini!!!

Mume wangu T, kuna ambalo liko nje ya akili zangu ndo maana hunioni humu toka juzi ila Usijali niko salama ni mambo ya kazi tuu....

Nakupenda,, wasalimie wana kapuku!!!!
Nakupenda jojo wangu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom