Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wooow!!!!
Nakupenda mnoo ndo maana nakujali, nimjali nani zaidi yako mume wangu!!!??

Nililala salama na kukuota usiku wote, nimpe nini Mungu kwa kukuleta kwenye maisha yangu???!

Mungu na kushukuru kwa kuniletea ubavu unaolingana na ubavu wangu!!!!

T Nakupenda sanaa jamani, amka basi mume wangu tu_ jog kabla ya kuoga tuyawahi majukumu!!! Nshakuandalia nguo za michezo tayari love

Nakupenda ujue

Morning baby....

Wakati mwingine huwa nashindwa kabisa kukueleza nakupenda kwa kiasi gani..

Hakuna maneno yanayoweza kuelezea upendo nilionao kwako..

I am totally immersed into yo ...

Kila siku nikiamka naona penzi ndo kama limezaliwa..

I see the reason to live..! I see the reason to say that I AM A MAN ..

I see the reason to be Happy in every second of my life..

Nakupenda mno sakayo...! I real love you my woman..

Goodmorning S wangu
 
Morning wakuu..

Morning familia bora ya Jamiiforum..


Morning watani....


Nawatakia siku njema! Mtangulizeni Mungu ktk kila jambo...

All the best guys..
 
Wapendwa Makapuku namshukuru Mungu kutuamsha salama na kutufikisha umbali huu,tunapaswa kumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea maana anatupenda anatutunza na hajatuaacha katika mapito yote wako wengi wanatamani kuwa kama sisi hawajaweza,wengine hawajaamka kabisa,wengine wako vitandani wanaugulia na hata wengine hawana tumaini tena tumuombe Mungu atusaidie kuwa wavumilivu tunapopitia changamoto mbalimbali maana ndio ubinadamu,naomba Amani itawale ,upendo na mshikamano ....tufanye kazi kwa bidii huku tukimshirikisha Mungu katika kila jambo ..nawatakia jumanne njema ndoto zetu zikafanikiwe..nawapenda sana sana muwe na kila sababu ya kufurahia maisha na zawadi hii adimu ya uhai tuliopewa na baraka zote..Amen
Asante mama mchungaji..

Mungu akulinde na akupe amani yake..
 
Mungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!

Mmeamkaje wana kapuku

Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!

T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...

Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...

T Nakupenda sanaa jamani!!!

Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
I love you too my world...!

Have a blessed work time..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom