Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Morning Q hope uko bomba bro.Morng Mondray
Morning Q hope uko bomba bro.Morng Mondray
HakikaMorning Q hope uko bomba bro.
AmenMorning
Mungu aibariki siku hii ya leo
MorningMorning
Mungu aibariki siku hii ya leo
Morning mkuuMorning family
Naamini uko poaMorning mkuu
Niko poaa kabisa mkuuNaamini uko poa
GoodNiko poaa kabisa mkuu
Morning bro.Morning
Wooow!!!!
Nakupenda mnoo ndo maana nakujali, nimjali nani zaidi yako mume wangu!!!??
Nililala salama na kukuota usiku wote, nimpe nini Mungu kwa kukuleta kwenye maisha yangu???!
Mungu na kushukuru kwa kuniletea ubavu unaolingana na ubavu wangu!!!!
T Nakupenda sanaa jamani, amka basi mume wangu tu_ jog kabla ya kuoga tuyawahi majukumu!!! Nshakuandalia nguo za michezo tayari love
Nakupenda ujue
...KaribuNdio nimeingia humu ndani kwa Mara ya kwanza kwenye familia ya makapuku, hivyo kabla sijaendelea na mengine naomba ningependa kuwajukia hali wenyeji wa humu
Asante mama mchungaji..Wapendwa Makapuku namshukuru Mungu kutuamsha salama na kutufikisha umbali huu,tunapaswa kumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea maana anatupenda anatutunza na hajatuaacha katika mapito yote wako wengi wanatamani kuwa kama sisi hawajaweza,wengine hawajaamka kabisa,wengine wako vitandani wanaugulia na hata wengine hawana tumaini tena tumuombe Mungu atusaidie kuwa wavumilivu tunapopitia changamoto mbalimbali maana ndio ubinadamu,naomba Amani itawale ,upendo na mshikamano ....tufanye kazi kwa bidii huku tukimshirikisha Mungu katika kila jambo ..nawatakia jumanne njema ndoto zetu zikafanikiwe..nawapenda sana sana muwe na kila sababu ya kufurahia maisha na zawadi hii adimu ya uhai tuliopewa na baraka zote..Amen
Morning tooMorning family
Morning tooMorning Q hope uko bomba bro.
Morning tooMorning
Kwema mkuu?Mitamaa ?
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante mama mchungajiKaribu sana
Good morning mkuuMorning wakuu..
Morning familia bora ya Jamiiforum..
Morning watani....
Nawatakia siku njema! Mtangulizeni Mungu ktk kila jambo...
All the best guys..
I love you too my world...!Mungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!
Mmeamkaje wana kapuku
Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!
T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...
Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...
T Nakupenda sanaa jamani!!!
Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
Anawapenda sana mkuu!Good morning mkuu
Hope all family iko poa ..mwambie shemela tunampendaa sana
AmenShemu tunamshukury aliye juu tuko salama
AmenAmen ubarikiwe siku njema mummy
Jana kakaWapi jmn