Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Heeenikila vyakula vya kununua jua naumwa ata kupika siwezi
R.I.P kocha Casare Maldin2016 - Cesare Maldini anafariki Dunia.
Alikuwa ni mchezaji na kocha wa zamani kutoka nchini Italia.
Ni baba mzazi wa Paolo Maldini.
Ubarikiwe mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie Siku njema.
Acha uchocheziMke gani unapikia microwave na toaster tu!!!
Dada akikujibu niite dada anguShem ni hicho chakula tu au kuna lingine
Tumetoka mbali
Dada hilo la kuchepuka mwanaume huwezi mzuia kama anataka kuchepuka machepuko memaUchochezi gani tena jamani
Au nimwambie achepuke
Umeitika vizuri sana mpaka roho yangu imefurahiAbeeee
Amen .....Amen nawe pia ubarikiwe wiki njema
hahahhah mukongo niache nafanya hivyo kama nina haraka halaf njaa inauma sanaMke gani unapikia microwave na toaster tu!!!
I see tutafika tuJe Wajua:
Kuna movie inaitwa " 100 years: The movie you will never see "
Imemalizwa kuektiwa mwaka 2015 lakini itazinduliwa mwaka 2115 miaka 100 baadae baada ya kutengenezwa.
Ila wazungu jinsi walivyo hamnazo tayari washaanza kununua tiketi za kuhudhuria siku itakapozinduliwa hiyo mwaka 2115 ambapo kwa sasa tumebakiza miaka 98 ili izinduliwe.
naogopa sana kupigwa na mwanaumeHahaha
Njoo nyumbani mamy
Acha uchochezi
nshaacha!Pole sana kwa ajali naamini imekuacha salamaThanks jooh haka kawimbo kananikumbusha 10th March 2016 nilipota ajali ya basi.
Acha maneno ya kusadikika mdogo wanguDada hilo la kuchepuka mwanaume huwezi mzuia kama anataka kuchepuka machepuko mema