Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Dada nawe una kauchocheziJamaniiii
Pole mwaya, vumilia tu ndo wako huyo
Dada nawe una kauchocheziJamaniiii
Pole mwaya, vumilia tu ndo wako huyo
Sawa Dada nabadilika lkn si kweli anavyosemaBadilika basi mdogo wangu, wanaume wenyewe hawa wachache
Pole ndo maisha hayoDah purukushani tu katibu mpaka napotea huku
na mambo ya kupigwa na nyumba naweza kuondokaHebu mshtue na kelbu moja
nikarud siku nyingine
Mwambie wewe hapa JF ni maarufu sana kuliko anavyokujua.Hivyo avumilie tukusalimie tu hakuna namna.




nikila vyakula vya kununua jua naumwa ata kupika siweziHahaha
Umepika au umenunua
Wivu mpaka nakosea anaumaa

Shem ni hicho chakula tu au kuna lingineBhanaaaaaah hivi uvivu kakufundaa nan
Ubarikiwe dear wiki njemaNawatakia jumatatu iliyo njema na Mungu awatangulie
Why???.....anauza nini nami nimletee watejaMuacheeee bhuuuuuaaanaaa
AbeeeeSakayo
Amen nawe pia ubarikiwe wiki njemaBwana Yesu asifiwe watu wa Mungu, natumai mko njema na mmeenda kuparangana basi niwatakie kila la kheri na Barka tele![]()
Uchochezi gani tena jamaniDada nawe una kauchochezi
Mke gani unapikia microwave na toaster tu!!!afu wewe ni kachochezi mukongo
Nakujua unavyojuaaga kujiteteaSawa Dada nabadilika lkn si kweli anavyosema
Kama radio call halo halo Ova
Hahahana mambo ya kupigwa na nyumba naweza kuondokanikarud siku nyingine